BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 4,802
- 8,509
Nadhan hapa tumeelewanaMe naona kuwaanzisha wote kwa pamoja Pogba na bruno ni kupoteza balance ya team
Ngoja tuone
Ngoja aje bwana Chief MkwawaNadhan hapa tumeelewana
Nadhan hapa tumeelewana
bruno na pogba wamecheza pamoja toka post lockdown, hakuna balance yoyote inayoharibika. tumefungwa kwa mambo mengine na sio combo yao.Ngoja aje bwana Chief Mkwawa
huyo cavani kafanya nini mpaka aanzishwe? timu haina width kabisa, unaona hitaji la winga pembeni.inakera sana kufungwa na timu ndogo kama arsenal tatizo la leo ni pogba na kocha hivi cavani tulimchukua wa nini kama hatuwezi kumuanzisha?pogba kachemka sana leo lakini kocha hakumtoa angefanya maamuzi mapema wala asingeleta upuuzi aliofannya tumefungwa sababu ya kocha
Arteta kucheza na timu za kawaida km man uinakera sana kufungwa na timu ndogo kama arsenal tatizo la leo ni pogba na kocha hivi cavani tulimchukua wa nini kama hatuwezi kumuanzisha?pogba kachemka sana leo lakini kocha hakumtoa angefanya maamuzi mapema wala asingeleta upuuzi aliofannya tumefungwa sababu ya kocha
timu ndogo ndo ishakutoa kiziboinakera sana kufungwa na timu ndogo kama arsenal tatizo la leo ni pogba na kocha hivi cavani tulimchukua wa nini kama hatuwezi kumuanzisha?pogba kachemka sana leo lakini kocha hakumtoa angefanya maamuzi mapema wala asingeleta upuuzi aliofannya tumefungwa sababu ya kocha