Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Munaeza shangaa hiyo game manjestaa akashinda..
Ww kile kigenge chako na Hawa Manunu wte akili zenu ni sawa...ulikula kono la nyani na Hawa Watakula kono la nyani vilevile....watufunge centre back Casemiro???..beki Kambwala??...midfielder Erikssen??...wakimaliza kipindi cha kwanza hawajakula chuma tatu Hawa sijui....timu likicheza unaona matobo kibao nyuma halafu ndo yaje kutujazia sisi....sare na Liver isiwadanganye....ile ilikuwa siku mbaya kwa Liver ila msijidanganye kwetu sisi...tutawadunda kama ngoma
 
Ww kile kigenge chako na Hawa Manunu wte akili zenu ni sawa...ulikula kono la nyani na Hawa Watakula kono la nyani vilevile....watufunge centre back Casemiro???..beki Kambwala??...midfielder Erikssen??...wakimaliza kipindi cha kwanza hawajakula chuma tatu Hawa sijui....timu likicheza unaona matobo kibao nyuma halafu ndo yaje kutujazia sisi....sare na Liver isiwadanganye....ile ilikuwa siku mbaya kwa Liver ila msijidanganye kwetu sisi...tutawadunda kama ngoma
Sasa nyie matakataka hata mukishinda mechi zote zilizobaki humabebi chochote ninyi bado sana kubeba makombe makubwa makubwa, kwa kosi mulonalo msimu ujao mutachoka sana ..mutaanza gombania nafasi ya tano na sita uko
 
Ww kile kigenge chako na Hawa Manunu wte akili zenu ni sawa...ulikula kono la nyani na Hawa Watakula kono la nyani vilevile....watufunge centre back Casemiro???..beki Kambwala??...midfielder Erikssen??...wakimaliza kipindi cha kwanza hawajakula chuma tatu Hawa sijui....timu likicheza unaona matobo kibao nyuma halafu ndo yaje kutujazia sisi....sare na Liver isiwadanganye....ile ilikuwa siku mbaya kwa Liver ila msijidanganye kwetu sisi...tutawadunda kama ngoma
Sisi msimu kombe letu ni kuwazuia nyie kuchukua ubingwa😀😀
 
Sasa nyie matakataka hata mukishinda mechi zote zilizobaki humabebi chochote ninyi bado sana kubeba makombe makubwa makubwa, kwa kosi mulonalo msimu ujao mutachoka sana ..mutaanza gombania nafasi ya tano na sita uko
Kipindi sisi tunamaliza nafasi ya 6 nyny mnabeba ndoo na Jackson au sio🤠🤠...inatakiwa mechi ijayo tukikutana tuwalambe 10 kabisa...maana kuwafunga sio ishu sikuhz ila kuwafunga migoli mingi ndo inatakiwa iwe utaratibu rasmi
 
Is Gary O’Driscoll a fraud?
For 12yrs he was club doctor at Arsenal and we were beset with injuries to key players.

He signed for Man Utd last summer and they’re now suffering their worst injury crisis in years. Arsenal right now have a fully fit squad right now.

Coincidence?
IMG-20240508-WA0002.jpg
 
Another English David Moyes for United.
UTD inatumika kibiashara sana na Imekuwa haina Mikakati ya Kimichezo inayoeleweka.
Imesajili kwa Sababu za Kibiashara mwishowe kumekuwa na wachezaji wana Nguvu Juu ya Walimu na Uongozi. {KUBADILI LAZIMA KUUZA KUNDI LOTE + UTD Inafahamika Aina yake ya UCHEZAJI, Haitakiwi ajiri mwalimu kuleta falsafa yake}

UTD ina wachezaji wa Tangu FERGIE, Uje shindana na CITY ambaye amebadili kikosi zaidi ya x4 . Mbaya zaidi UTD inatumika na Media kuuza Habari zao. M Z A N Z I B A R I Alimtaja ADAM CRAFTON namna alikuwa anichafua timu na bado anaendelea. Kuna kundi kubwa kina LUCKRUST, TODD, WHITWELL na Waandishi wa ATLANTIC wengi maana Gazeti lao Unalipia

Hamna TIMU Inauza kama UTD iwe habari Mbaya ama Nzuri {Mbaya kwa UTD ni Nzuri kwa Wapinzani mana UTD Imeharibu furaha yao kwa Miaka mingi na namna pekee ya Kufurahi ni kuona UTD Ikitaabika. Nzuri wanauza kwa Wanazi wa UTD ambao ni wengi tu.
 
UTD inatumika kibiashara sana na Imekuwa haina Mikakati ya Kimichezo inayoeleweka.
Imesajili kwa Sababu za Kibiashara mwishowe kumekuwa na wachezaji wana Nguvu Juu ya Walimu na Uongozi. {KUBADILI LAZIMA KUUZA KUNDI LOTE + UTD Inafahamika Aina yake ya UCHEZAJI, Haitakiwi ajiri mwalimu kuleta falsafa yake}

UTD ina wachezaji wa Tangu FERGIE, Uje shindana na CITY ambaye amebadili kikosi zaidi ya x4 . Mbaya zaidi UTD inatumika na Media kuuza Habari zao. M Z A N Z I B A R I Alimtaja ADAM CRAFTON namna alikuwa anichafua timu na bado anaendelea. Kuna kundi kubwa kina LUCKRUST, TODD, WHITWELL na Waandishi wa ATLANTIC wengi maana Gazeti lao Unalipia

Hamna TIMU Inauza kama UTD iwe habari Mbaya ama Nzuri {Mbaya kwa UTD ni Nzuri kwa Wapinzani mana UTD Imeharibu furaha yao kwa Miaka mingi na namna pekee ya Kufurahi ni kuona UTD Ikitaabika. Nzuri wanauza kwa Wanazi wa UTD ambao ni wengi tu.
Hii timu mpaka iamue kuishi kama timu ndogo kwa muda.

Wangestick na Ole msimu aliokuwa na hali mbaya huenda angerudisha makali ya timu tena.
 
Nyumbu Fc wenzangu tunakumbushana tu wala sio kwa nia mbaya, wakati sisi tukiendelea kubweka humu na Baba Ubaya kina Sancho na Sabitzer wao wanaenda kucheza fainali ya Uefa Champions League
1715176948244.jpg
 
Back
Top Bottom