Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Tukifanya usajili wa wachezaji wazuri tutaweza tu bila tabuNarudia tena kuuliza kuna siku tutakuja cheza mpira kama huu wa dortmund????
Maana hata aseno mpira huu hawachezi
Tukifanya usajili wa wachezaji wazuri tutaweza tu bila tabuNarudia tena kuuliza kuna siku tutakuja cheza mpira kama huu wa dortmund????
Maana hata aseno mpira huu hawachezi
Ww kile kigenge chako na Hawa Manunu wte akili zenu ni sawa...ulikula kono la nyani na Hawa Watakula kono la nyani vilevile....watufunge centre back Casemiro???..beki Kambwala??...midfielder Erikssen??...wakimaliza kipindi cha kwanza hawajakula chuma tatu Hawa sijui....timu likicheza unaona matobo kibao nyuma halafu ndo yaje kutujazia sisi....sare na Liver isiwadanganye....ile ilikuwa siku mbaya kwa Liver ila msijidanganye kwetu sisi...tutawadunda kama ngomaMunaeza shangaa hiyo game manjestaa akashinda..
Sasa nyie matakataka hata mukishinda mechi zote zilizobaki humabebi chochote ninyi bado sana kubeba makombe makubwa makubwa, kwa kosi mulonalo msimu ujao mutachoka sana ..mutaanza gombania nafasi ya tano na sita ukoWw kile kigenge chako na Hawa Manunu wte akili zenu ni sawa...ulikula kono la nyani na Hawa Watakula kono la nyani vilevile....watufunge centre back Casemiro???..beki Kambwala??...midfielder Erikssen??...wakimaliza kipindi cha kwanza hawajakula chuma tatu Hawa sijui....timu likicheza unaona matobo kibao nyuma halafu ndo yaje kutujazia sisi....sare na Liver isiwadanganye....ile ilikuwa siku mbaya kwa Liver ila msijidanganye kwetu sisi...tutawadunda kama ngoma
Sisi msimu kombe letu ni kuwazuia nyie kuchukua ubingwa😀😀Ww kile kigenge chako na Hawa Manunu wte akili zenu ni sawa...ulikula kono la nyani na Hawa Watakula kono la nyani vilevile....watufunge centre back Casemiro???..beki Kambwala??...midfielder Erikssen??...wakimaliza kipindi cha kwanza hawajakula chuma tatu Hawa sijui....timu likicheza unaona matobo kibao nyuma halafu ndo yaje kutujazia sisi....sare na Liver isiwadanganye....ile ilikuwa siku mbaya kwa Liver ila msijidanganye kwetu sisi...tutawadunda kama ngoma
Kipindi sisi tunamaliza nafasi ya 6 nyny mnabeba ndoo na Jackson au sio🤠🤠...inatakiwa mechi ijayo tukikutana tuwalambe 10 kabisa...maana kuwafunga sio ishu sikuhz ila kuwafunga migoli mingi ndo inatakiwa iwe utaratibu rasmiSasa nyie matakataka hata mukishinda mechi zote zilizobaki humabebi chochote ninyi bado sana kubeba makombe makubwa makubwa, kwa kosi mulonalo msimu ujao mutachoka sana ..mutaanza gombania nafasi ya tano na sita uko
Another English David Moyes for United.Taarifa zinazomuhusisha Gareth Southgate na kibarua cha matofalini zinaniudhi kweli kweli.
Mungu tusàidie
UTD inatumika kibiashara sana na Imekuwa haina Mikakati ya Kimichezo inayoeleweka.Another English David Moyes for United.
Hii timu mpaka iamue kuishi kama timu ndogo kwa muda.UTD inatumika kibiashara sana na Imekuwa haina Mikakati ya Kimichezo inayoeleweka.
Imesajili kwa Sababu za Kibiashara mwishowe kumekuwa na wachezaji wana Nguvu Juu ya Walimu na Uongozi. {KUBADILI LAZIMA KUUZA KUNDI LOTE + UTD Inafahamika Aina yake ya UCHEZAJI, Haitakiwi ajiri mwalimu kuleta falsafa yake}
UTD ina wachezaji wa Tangu FERGIE, Uje shindana na CITY ambaye amebadili kikosi zaidi ya x4 . Mbaya zaidi UTD inatumika na Media kuuza Habari zao. M Z A N Z I B A R I Alimtaja ADAM CRAFTON namna alikuwa anichafua timu na bado anaendelea. Kuna kundi kubwa kina LUCKRUST, TODD, WHITWELL na Waandishi wa ATLANTIC wengi maana Gazeti lao Unalipia
Hamna TIMU Inauza kama UTD iwe habari Mbaya ama Nzuri {Mbaya kwa UTD ni Nzuri kwa Wapinzani mana UTD Imeharibu furaha yao kwa Miaka mingi na namna pekee ya Kufurahi ni kuona UTD Ikitaabika. Nzuri wanauza kwa Wanazi wa UTD ambao ni wengi tu.
Ninachojua ni kwamba zile bao 8 haziwezi rudiMkija Kama mlivoingia na crystal palace. Hatutaki lawamaView attachment 2984706