Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sikujua hili kwamba lilifikia hatua hii.

Kwahiyo Ozil hata kukanyaga China haiwezekani tena katika maisha yake ?.

Anyway ngoja tuwaachie wenyewe tu kwa sababu kama ni hivyo United hawawezi kufanya hiyo gambling.

But angeleta impact kubwa sana kwa timu yetu hasa upande wa kulia na asingehitaji kukimbia eneo kubwa sana uwanjani.
Kweli mkuu Ozil hajaisha bado anakitu kikubwa hasa kwenye final third, angesaidia sana kwenye ubunifu, ila ndo hivyo alifanya makosa yanayomgharim....
 
Mwezi huu tunaondoka na point ngapi?
IMG_20201101_161726.jpg
 
Mechi ya Leo tuna kila sababu ya kutoka na 3 pnts !!!

ole achange karata vizuri
Hatuna majeruhi Sana
Timu iko Moto kwa Sasa
Baadhi ya wachezaji wamerudi form
Aseno wachumba tu OT

My prediction line up

David

AWB, Victor, Harry , Luke

Scott,Fred Paul

Rashy Edinson Bruno

Let's do it

#GGMU
 
Mechi ya Leo tuna kila sababu ya kutoka na 3 pnts !!!

ole achange karata vizuri
Hatuna majeruhi Sana
Timu iko Moto kwa Sasa
Baadhi ya wachezaji wamerudi form
Aseno wachumba tu OT

My prediction line up

David

AWB, Victor, Harry , Luke

Scott,Fred Paul

Rashy Edinson Bruno

Let's do it

#GGMU
Mkuu hata Leicester walikuwa wachumba emirates stadium lkn wakaondoka na ushindi
 
Manchester United official lineup to play Arsenal: De Gea, Wan-Bissaka, Lindelof, Maguire, Shaw, McTominay, Fred, Pogba, Fernandes, Greenwood, Rashford. #MUFC #MUNARS

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom