SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,442
Hawa ni wazee wa mechi kubwa kubwa za UEFA. Hizi zingine wanakamilisha tu. Mambo yao ni ya juu!
Kwanza alipaswa amtoe Fred aingie Cavani ili Rashford ahamie kushoto.Ole bhana
Pogba amechoka naongea na jamaa pembeni, nasema Pogba atolewe... mara paap TUTA (msimu huu Pogba anasababisha TUTA mara ya pili kizembe tu)
Halafu anakuja kumtoa Bruno (ambaye muda wowote anasababisha kitu) na kumwacha Pogba ambaye ana ball dance nyingi kuliko kufanya kitu uwanjani
Martial ni beacon/last hope.wale martial Haters natumai pia munaona pengo lake.
Yes link up play haikuwepo kabisa.wale martial Haters natumai pia munaona pengo lake.
Alichokosea tangu mwanzo ni kumuweka pogba kama winga,kingine kumtoa fred ilikua sahihi maana alikua na yellow tayar so mda wowote angeifanya team tubaki8Kwanza alipaswa amtoe Fred aingie Cavani ili Rashford ahamie kushoto.
Substitution hii ingefanya kazi kwa ufanisi kuliko kumtoa Fred na kuleta Matic kisha Greenwood over Cavani
Yalimpiga mvimba macho Leipzig yakaona yana timuUkiskia walivyokuwa wanajisifia bada ya kufunga kibonde wa ujeruman
Pogba hakuwa na VPNYes link up play haikuwepo kabisa.
Cavani bado hajazoeana na wenzake naona uchezaji wake ni kama anakimbia kimbia tu uwanjani.
Leo Yamepigwa maana yalianza kusumbua mtaani😂😂Yale leipizg yalikuja kushangaa OT wakasahau kilichowaleta
Yes alipaswa amtoe Fred kisha aingie Cavani ili Pogba arudi kwenye central Midfield.Alichokosea tangu mwanzo ni kumuweka pogba kama winga,kingine kumtoa fred ilikua sahihi maana alikua na yellow tayar so mda wowote angeifanya team tubaki8
Kwanza alipaswa amtoe Fred aingie Cavani ili Rashford ahamie kushoto.
Substitution hii ingefanya kazi kwa ufanisi kuliko kumtoa Fred na kuleta Matic kisha Greenwood over Cavani
Ukiachana na faulo iliyosababisha goli Pogba hakuwa mbaya kivile, kwa nini tusimzungumzie akina Fernandez waliokuwa wanazunguka tu uwanjani?inakera sana kufungwa na timu ndogo kama arsenal tatizo la leo ni pogba na kocha hivi cavani tulimchukua wa nini kama hatuwezi kumuanzisha?pogba kachemka sana leo lakini kocha hakumtoa angefanya maamuzi mapema wala asingeleta upuuzi aliofannya tumefungwa sababu ya kocha
Tumewagongainakera sana kufungwa na timu ndogo kama arsenal tatizo la leo ni pogba na kocha hivi cavani tulimchukua wa nini kama hatuwezi kumuanzisha?pogba kachemka sana leo lakini kocha hakumtoa angefanya maamuzi mapema wala asingeleta upuuzi aliofannya tumefungwa sababu ya kocha

Yupo Zenji, kesho anataka kumsindikiza Mwinyi kuapishwaLeo mzee wa ma hat trick hakuwemo? Bwana Raaashid Makame?


