OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Muda utaongea kivipi mkuu ..Rashid ana misimu mingap mpka sasa? Kuna msimu wowote keshafikisha goli 15?? HahahahaMkuu mimi nakubaliana na hoja yako kuwa Rashid sio striker tishio (hilo sibishi hata kidogo)
Lakini kwa kuwa OGS atampa nafasi za kutosha na penati atapewa na goli 15 kwake sio nyingi kiivyo (hapo ndio tuna tofautiana)
Lakini muda ndio utaongea Mkuu