OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Siongei kishabiki mkuu ..uyu Rashid kwa wastani wa mechi tatu/nne ndo anafunga goli moja ..tena labda itokee penati...sasa apo kufikisha goli kumi tano kwenye all competition na uhakika hafikishi ...sembuse EPL tu...Kwamba ktk mashindano yote rashford hawez kufikisha goli 15 ina maana tutakuwa tunapata ushindi wa timu pinzan kujifunga au mabek wetu kufunga magoli na sio rashford maana yeye na martial ndio wapo mbele sasa ktk mashindano yote rashford atashindwa? Ndio maana nikasema jamaa anaongea kishabik rashford ana uwezo wa kufikisha kwa sasa sioni kikwazo ni suala la muda

