Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwamba ktk mashindano yote rashford hawez kufikisha goli 15 ina maana tutakuwa tunapata ushindi wa timu pinzan kujifunga au mabek wetu kufunga magoli na sio rashford maana yeye na martial ndio wapo mbele sasa ktk mashindano yote rashford atashindwa? Ndio maana nikasema jamaa anaongea kishabik rashford ana uwezo wa kufikisha kwa sasa sioni kikwazo ni suala la muda
Siongei kishabiki mkuu ..uyu Rashid kwa wastani wa mechi tatu/nne ndo anafunga goli moja ..tena labda itokee penati...sasa apo kufikisha goli kumi tano kwenye all competition na uhakika hafikishi ...sembuse EPL tu...
 
Hata hivyo chelsea wana viungo wengi wa maana hii timu yetu inahangaika sana katikati hiv tunaamini huyo dogo wa chelsea ni bonge la striker kumzid rashford? Hapana rashford kisha tuonesha ni striker ambae hata mech kubwa unamuona ni mapungufu madogo aliyonayo kwa kuwa timu haina ushindani wa namba tu

Timu yetu ni kama kuna wachezaj wa 5 tu wanaweza kucheza chelsea na kuanza kuna muda kuhukumu wakina rashford kuwaonea maana haina wachezaj wazoef kama wa chelsea ambao wanaficha madhaifu ya wakina Abraham

Martial
Maguire
Pogba
De gea
Wan bissaka

Scott na rashford pia wanaweza ila kwa mwenendo wa timu yetu huwez kuwapa nafasi ya moja kwa moja huyo Abraham akija united lazima atahangaika tu

Wamepita wachezaj wa maana kwetu waneonekena magalasa kwa sababu ya mfumo tu
Apo ni Pobga na Bissaka ndo wataingia moja kwa moja kwenye fisrt XI ya chelsea, Uyu De gea itabid afait kuchukua namba ya Kepa, magwaya ni Zouma aliyechangamka Martial labda arsenal ndo atapata namba..

Kila la kheri Chelsea
 
Fred sio namba 6 .

pia PoGba sio namba 10 kamili kama wakina David Silva . ni rahisi sana kubanwa na asifanye chochote, kumbuka gemu na paris OT.

Kwakuwa hatuna options tunaweza kufanya hivyo, lakini sio long term.

Summer tunaweza kumuuza then tukaleta viungo wawili, no6 mithili ya kante na namba 10. Namba 8 tayari tunao (MCT na Fred-kama atabadilika).
Fred akiwa shakhtar amecheza holding vizuri tu..
 
Huo ndio ukweli

Wote tunatambua kwamba Rashy sio forward ambaye siku moja atakuja kupata golden boot, lakini hiyo haimaanishi kwamba hawezi kufikisha goli 15-20

Sasa Ollachuga yeye anaongea kishabiki tu
Mkuu ni msimu upi Rashiford alifikisha hata goli 11 au 12 tu achilia mbali 15.. nikumbushe tafadhali

Kila la kheri Chelsea
 
Fred sio namba 6 .

pia PoGba sio namba 10 kamili kama wakina David Silva . ni rahisi sana kubanwa na asifanye chochote, kumbuka gemu na paris OT.

Kwakuwa hatuna options tunaweza kufanya hivyo, lakini sio long term.

Summer tunaweza kumuuza then tukaleta viungo wawili, no6 mithili ya kante na namba 10. Namba 8 tayari tunao (MCT na Fred-kama atabadilika).
Pogba na Fred namba gani?
 
Mkuu ni msimu upi Rashiford alifikisha hata goli 11 au 12 tu achilia mbali 15.. nikumbushe tafadhali

Kila la kheri Chelsea
Unamaanisha alifikisha ama hajafikisha?

-2018/19 ana goli 15 (10 ligi, 3 cup, 2 Uefa)
-2017/18 ana goli 10
-2016/17 ana goli 7
-2015/16 pia goli 7

Na Hana miaka 26 ama 27 Huyu Rashford, alikuwa anacheza mpira Huku anaenda shule, hajafikia peak ya kiwango chake bado anakua.
 
Fred sio namba 6 .

pia PoGba sio namba 10 kamili kama wakina David Silva . ni rahisi sana kubanwa na asifanye chochote, kumbuka gemu na paris OT.

Kwakuwa hatuna options tunaweza kufanya hivyo, lakini sio long term.

Summer tunaweza kumuuza then tukaleta viungo wawili, no6 mithili ya kante na namba 10. Namba 8 tayari tunao (MCT na Fred-kama atabadilika).

Kwa ulivyowapanga wachezaji kwa hizi Namba, Unaonekana unatizama game za Manchester tofauti na tunayoijua sisi.

Unasema MCT ni namba 8 sio?
 
Rashford hana uwezo wa kufunga bao kumi lakini bado anachezea united na wala hazungumzwi kama ni ovyo ila lukaku aliyekua anatupa zaidi ya bao kumi kasimangwa weeeeee mwishowe kauzwa kilazima....
 
Soma hapo juu, Chief ameweka stats za magoli yake

Ninakubali kuwa Rashy sio prolific goal scorer lakini sio mbovu kama wapinzani wake mnavyodai

Rashy anaweza kushindwa kukupa goli 25-30,lakini akipewa ruhusa na kocha ya kuingia kati kati (maeneo ya goli) ana uwezo wa kukupa magoli 15-25
Kwani miaka ya nyuma amefunga magoli mangapi? Tuseme ukweli Rash ni hyped player
 
Kwa ulivyowapanga wachezaji kwa hizi Namba, Unaonekana unatizama game za Manchester tofauti na tunayoijua sisi.

Unasema MCT ni namba 8 sio?
Ndio kwa maana ya B2B mid.

Labda unisaidie unadhani MCT best position yake ni ipi 6 yaani DM au 10 yaani AM.
 
Hizi stats zinaweza kupotosha kwa kiwango flani, maana Lengo ni kuonesha nani yupo clinical kati ya hao wawili

Hayo magoli aliyopata Rashy (10) ameyapata akiwa anatokea pembeni, sio main striker lakini Tamy ni mshambuliaji wa kati

Hapa nataka tuwe fair kwa Rashy
Msimu huu ni main striker. Mwenzake ana goli 7 tayari. Yeye anajiangusha kupata penalt. Hovyo sana.
 
Hata hivyo chelsea wana viungo wengi wa maana hii timu yetu inahangaika sana katikati hiv tunaamini huyo dogo wa chelsea ni bonge la striker kumzid rashford? Hapana rashford kisha tuonesha ni striker ambae hata mech kubwa unamuona ni mapungufu madogo aliyonayo kwa kuwa timu haina ushindani wa namba tu

Timu yetu ni kama kuna wachezaj wa 5 tu wanaweza kucheza chelsea na kuanza kuna muda kuhukumu wakina rashford kuwaonea maana haina wachezaj wazoef kama wa chelsea ambao wanaficha madhaifu ya wakina Abraham

Martial
Maguire
Pogba
De gea
Wan bissaka

Scott na rashford pia wanaweza ila kwa mwenendo wa timu yetu huwez kuwapa nafasi ya moja kwa moja huyo Abraham akija united lazima atahangaika tu

Wamepita wachezaj wa maana kwetu waneonekena magalasa kwa sababu ya mfumo tu
Pogba angecheza nafasi ya Rashford angekuwa na magoli mengi kuliko Rashford kwa sasa.

Huyu jamaa sio kama waingereza wanavyompa kichwa. He is too average.
 
Huo ndio ukweli

Wote tunatambua kwamba Rashy sio forward ambaye siku moja atakuja kupata golden boot, lakini hiyo haimaanishi kwamba hawezi kufikisha goli 15-20

Sasa Ollachuga yeye anaongea kishabiki tu
Rashford akifikisha goli zaidi ya 20 msimu huu naacha kushabikia soka. Na humu siingii tena.
 
Soma hapo juu, Chief ameweka stats za magoli yake

Ninakubali kuwa Rashy sio prolific goal scorer lakini sio mbovu kama wapinzani wake mnavyodai

Rashy anaweza kushindwa kukupa goli 25-30,lakini akipewa ruhusa na kocha ya kuingia kati kati (maeneo ya goli) ana uwezo wa kukupa magoli 15-25

You sound like a mid table team fan.

Man Utd ni club kubwa sana.

Kuwa na striker anayekupa magoli 10 tena ya penalti ni wa kutupwa huko.

Angalia striking force ya Liverpool, Barca, Madrid, Juventus, PSG.

Halafu anagalia hiyo takataka unayoitetea eti sio mbaya sana.

Rashford ni mchezaji wa hovyo, sema Ole hajielewi na kuwaendekeza Waingereza.
 
Pogba angecheza nafasi ya Rashford angekuwa na magoli mengi kuliko Rashford kwa sasa.

Huyu jamaa sio kama waingereza wanavyompa kichwa. He is too average.
Punguza chuki dhidi ya Rashford.

Kacheza kama main striker mechi Mbili tuu.

Bado ana umri mdogo( 21). Anachoitaji ni good coaching.
Tayari kashaonesha anaweza ni swala la improvement tuu.
 
Fred Tominay na Pereira ndiyo hufanya vizuri wakicheza pamoja.

Nakubaliana na suggestion juu ya pogba
Sijaandika mahali pogba Ni 10 Bali nimeandika midfield ya Kati kushoto kwenye 4-3-3 namba ambayo alikuwa anacheza juve.

Na Fred Ni kiungo mkabaji/wa katikati, ameshacheza Mara kibao Kama midfield anaekaa nyuma kwenye 4-3-3 akiwa na shakhtar, hata best perfomance ya Fred na jezi ya Man UTD ni akicheza alongside MC tominay kuliko akiwa na Matic.
 
Back
Top Bottom