lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,198
- 28,080
Perreira alishindwa kufanya majukum yake vizur na mwenzie matic kiungo kwa sasa kiwe scott, pogba na fred timu ipo walahi scott akiendelea na kile kiwango cha mech ya leicester city matic ataenda juventus bure atafute shughuli ya kufanya
Fred akijiamini kama anavyojiamini Scott na akiacha ubishoo kama alivyo Scott, kiungo hakitakuwa na shida tena. Naamini Fred ana kitu cha ziada hasa nikitazama pasi zake. |


