Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nani huyo, Chongy au Gomes
tahit chong ndiye kusudio langu.
kwa mtazamo wangu dhaifu umbile lake linamfanya awe slow sana kucheza eneo la winga au namba 10.
kama angelikuwa ni midfield wa chini ingelipendeza zaidi kutokana na ufundi aliojaaliwa kuwa nao.
umbile lake anafanana sana na yule bamboucha wa leicester city aliyetolewa kipindi cha pili.
 
Kuna case pia za right winger kuwa right footed, mfano Sancho
Modern football inahitaji wings wanaoweza kufunga magoli.

Mtumiaji wa mguu wa kushoto akitokea kulia atakuwa na nafasi kubwa ya kuliface goli kuliko akitokea kushoto vivyo hivyo kwa right footed winger akitokea kushoto anakuwa na option nyingi za kupiga kuelekea golini tofauti na kutoa cross tu.
 
Uzuri wa wewe jamaa, sio comments zako zote nazichukulia serious, sometime huwa unatania
Kwenye beki labda Bissaka tu ndo anaweza kuingia first XI ya Chelsea uyu magwaya ata Kristiansen anaeza mueka benchi...

Siku Ole ajisahau amuache Bissaka nje afu magwaya ndani ndo utaona utumbo atakaocheza..

Kila la kheri Chelsea
 
Mkuu umeona kuna Waingereza sokoni wazuri tu kama Madison

Nimesikia kati ya yeye na Ericksen January mmoja atafukuziwa
kama klabu kwa dhati imeamua kumuamini OGS ajenge timu ya muda mrefu bila ya kuangalia athari ya matokeo tutakayoyapata basi ni bora asajiliwe james maddison mbele eriksen.

eriksen amemzidi maddison kwa miaka mitano​
 
Mkuu nadhani ni nature tu ya wachezaji

Mfano Mason ana umbile kubwa kulingana na umri wake, kuna dogo midfielder Traore, mshambuliaji Elanga U18 wana maumbile ya kufa mtu

Gomes ana mwili mdogo, na kwa kiasi flani unachangia asipewe nafasi ya kucheza. Lakini wachezaji wa namna hii huwa wana strengths zao zingine zinazo replace mapungufu ya udogo wa umbile

Mfano Gomes kwa ufundi wake haitaji contact na opponent

Najaribu kufikiria mwili wa Lingard, Mata, Messi, Bojan, Silva wote n.k wakiwa na miaka 19 walikuwaje

Dogo apewe nafasi mkuu, huko U23 anakinukisha balaa. Ndani ya miaka 2 atakuwa tishio (akiwa ndani ya United au nje ya United)
Nimekupata mkuu

Mechi zimeanza kuwa nyingi,naamini Ole atawapa nafasi..maana mimi kama Gomez namkubali sana
 
Na yeye na Chongy mikataba yao ndio inaisha mwaka huu

Vinginevyo wataondoka msimu ukiisha
ndio hatari ninayoiona mbeleni kwa hawa vijana.
juventus hawachelewi kutoa mkataba mnono kwa wachezaji walioishiwa mikataba huko wanakotoka.
tuwe makini sana.
 
Inasemekana huyu dogo Bayern wanamtolea udenda, anahitaji mazoezi na menyu ya kuimarisha mwili wake
tahit chong ndiye kusudio langu.
kwa mtazamo wangu dhaifu umbile lake linamfanya awe slow sana kucheza eneo la winga au namba 10.
kama angelikuwa ni midfield wa chini ingelipendeza zaidi kutokana na ufundi aliojaaliwa kuwa nao.
umbile lake anafanana sana na yule bamboucha wa leicester city aliyetolewa kipindi cha pili.
 
Naona umeanza kuongeza vigezo, kwani penati sio magoli

Niliwahi kukwambia kuwa msimu atapiga penati nyingi za United

Kupiga penati na kufunga pia ni uwezo, muulize Tamy..... Mpaka akaitwa Nyani
Wana mtukana lakini yeye anawapa raha ..

Sasa Rashid yeye anawapa nini Man u fans?

Ni lini Rashid alifunga goli tatu kweny game moja?

Kila la kheri Chelsea
 
Hahahahaha

Juve bhana, hiyo ndio strategy yao, wanasajili bure na wanatoa mikataba minono

Lakini kwa sasa naona wanachangamoto ya kuvutia hawa watoto, maana wana galactico ya kufa mtu
ndio hatari ninayoiona mbeleni kwa hawa vijana.
juventus hawachelewi kutoa mkataba mnono kwa wachezaji walioishiwa mikataba huko wanakotoka.
tuwe makini sana.
 
Mkuu mimi nakubaliana na hoja yako kuwa Rashid sio striker tishio (hilo sibishi hata kidogo)

Lakini kwa kuwa OGS atampa nafasi za kutosha na penati atapewa na goli 15 kwake sio nyingi kiivyo (hapo ndio tuna tofautiana)

Lakini muda ndio utaongea Mkuu
Usiwe siriyaz mkuu ..mimi huwa mtani sana

Ila Rashid hafikishi goli kumi na tano, "TENA KWENYE ALL COMPETITION"

Kila la kheri Chelsea
 
Sikumbuki Rashid ni lini amefunga hattrick lakini, Rashid ni moja kati wachezaji walioifungia Man Utd magoli muhimu sana

Ameshawaliza Arsenal, City, Chelsea, Liverpool na kila mkubwa unayemfahamu wewe pale uingereza

Tamy anakuja vizuri, lakini anaonekana ni wale wachezaji ambao timu inapo dominate sana game ndio anaonekana na ndio maana kwenye mechi za ushindi wa 1 - 0 haonekani, lakini ushindi wa 4 au 5 anaonekana
Wana mtukana lakini yeye anawapa raha ..

Sasa Rashid yeye anawapa nini Man u fans?

Ni lini Rashid alifunga goli tatu kweny game moja?

Kila la kheri Chelsea
 
Kati ya game 5 tumepata penati game 4. Tumefunga penati 2 na kukosa 2. Hii inaonyesha hatupotezi mechi kwa kukosa bahati, bahati ipo ila kuna mambo ya hovyo kwa kocha na wachezaji.

4 out of 5? Nilikuwa sijui hilo..

Ila hilo lina hasara zake! Last season Mo Salah alitumia Penalties kama 3 au 4 hivi! Media zikaanza kupropagete kuwa anabebwa na Marefa! Si marefa wakawa trapped na propaganda za Media za Kiengereza! Kudadadeki mpaka leo hata mchezaji wetu atolewe Macho basi hatupewi tuta.

Yani kwenye michezo 5 tumepewa Tuta 1 against Arsenal

Wakati inajuilikana kuwa Ukiwa na Washambuliaji wanaovamia goli muda wote basi unakuwa na Possibility ya kupata Tuta muda wowote.

Kwahiyo nanyinyi sasahivi Media zitawaanzia Propaganda za kuwa Munabebwa
 
4 out of 5? Nilikuwa sijui hilo..

Ila hilo lina hasara zake! Last season Mo Salah alitumia Penalties kama 3 au 4 hivi! Media zikaanza kupropagete kuwa anabebwa na Marefa! Si marefa wakawa trapped na propaganda za Media za Kiengereza! Kudadadeki mpaka leo hata mchezaji wetu atolewe Macho basi hatupewi tuta.

Yani kwenye michezo 5 tumepewa Tuta 1 against Arsenal

Wakati inajuilikana kuwa Ukiwa na Washambuliaji wanaovamia goli muda wote basi unakuwa na Possibility ya kupata Tuta muda wowote.

Kwahiyo nanyinyi sasahivi Media zitawaanzia Propaganda za kuwa Munabebwa
Ndiyo hivyo, katika game 5, hatujapata penati game moja tu. Katika penati hizo Rashford kapiga 3 karat 2 na kukosa koja. Pogba napita moja akaikosa. Nayo tulireact kunyimwa penati moja hivi, ambayo nafikiri ingebidi tupewe.
 
Mkuu mimi nakubaliana na hoja yako kuwa Rashid sio striker tishio (hilo sibishi hata kidogo)

Lakini kwa kuwa OGS atampa nafasi za kutosha na penati atapewa na goli 15 kwake sio nyingi kiivyo (hapo ndio tuna tofautiana)

Lakini muda ndio utaongea Mkuu

Ktk mashindano yote umeongea kishabiki sana mkuu kwamba magoli yatakuwa yanafungwa na mabek tu au timu pinzani zinajifunga? Kumbuka mbele yupo yeye martial na james chaguo la kwanza
 
Back
Top Bottom