makinika18
Member
- Nov 16, 2018
- 77
- 108
Kuna kitu nahic haukifaham anayetumia mguu wa kulia ni rahic sana kucheza namba 11(winga ya kushoto) na anayetumia mguu wa kushoto ndio anayecheza winga ya kulia (namba 7)mkuu anachokifanya OGS kwa daniel james itakuwa ni faida kubwa sana kwa huyo dogo hapo mbeleni kama atakuwa serious, zile zama tulizowashuhuhudia wachezaji mfano wa ryan giggs, david beckham wanacheza upande mmoja tu maisha yao yote kisoka zimeshapitwa na wakati.
ronaldo anatumia mguu wa kulia lakini alipokuwa real madrid alikuwa anatokea upande wa kushoto.
lionel messi anatumia mguu wa kushoto kwa ufasaha lakini barcelona anatokea upande wa kulia.
gareth bale anatumia mguu wa kushoto lakini anacheza namba 7
mifano ipo mingi sana brother.
kuna mechi anaweza kukutana na mlinzi hodari atakayemfanya atamani abadilishe upande mwenyewe bila ya maombi ya kocha.
Fatilia mawinga wazur wote wanao perform angalia miguu wanayotumia na upande wanaocheza utapata jibu

