barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Kafa nne. Yaani moko, mibale, misato, minei.Mechi ya leo kati yake na Everton, ni hayo tu..... asanteni....
ila samahani kwa kukosea jukwaa.
Kafa nne. Yaani moko, mibale, misato, minei.Mechi ya leo kati yake na Everton, ni hayo tu..... asanteni....
ila samahani kwa kukosea jukwaa.
Wao 4 vs Sisi 0Nasikia man u leo ameupiga mwingi
Oleguna bonge moja kocha, msimuache aisee
Ameshapigwa 4_0 mechi inaishiliziaMechi ya leo kati yake na Everton, ni hayo tu..... asanteni....
ila samahani kwa kukosea jukwaa.
Tatizo kuu ni kocha, Ole hakuleta kitu kipya zaidi ya kutembelea kivuli cha FurgieNa huyu tena?😂😂😂
wachezaji wa Man u ni mabitozi mkuu, wanacheza na jukwaa wengi. Hapo ndipo uwezo wao ulipoishia, waoga hawajiamini hata kidogo.
Dk ya 85 Man U ndio wanafanikiwa kupiga shuti lililolenga lango
Fagason aliyekuwa anaogopwa na marefa hayupo tena. Man U ndo ishakuwa historia... trust me...Duuuuuuh!! Ndo tumefungwa nyingi iviiiii??? Mamaaa yanguu Manure yetu imepatwa na nini??
Washarudisha goli mbili hapa,ni 4 - 2 bado dk9 mpira uiisheBado hatujacomeback tu.
Dah mengi sana.Yesu amefufuka nao.
Wamepigwa nne tu.
Sasa hata top four nayo inakataa.Kafa nne. Yaani moko, mibale, misato, minei.
Kimepiga shuti moja kipind cha piliFT: 4-0
Kocha sasa inabidi ajifunze hapa..hiki kikosi cha kipindi cha pili ndio kikosi cha kwanza Man U kwa sasa...ukiondoa ujinga ujinga wa Dalot&Martial, kikosi hiki ndicho kinatakiwa kianze Jamatano dhidi ya City.
Hahaha mshikaji wangu ..Ole wetu anakwamia wapi..??