Hujaacha kushabikia ARSENAL??? HahahaVery sad we are now out of top four.
Bado wewe mkuu.Mkome
...duh!rsenal starting XI: Leno, Jenkinson, Mvropanos, Mustafi, Koscielny, Kolasinac, Elneny, Guendouzi, Ozil, Lacazette, Aubameyang
Subs: Cech, Monreal, Maitland-Niles, Torreira, Mkhitaryan, Iwobi, Nketiah
Mm uhakika siunajua nipo home ,Bado wewe mkuu.
Wachezaji wamechoka sana utadhani Jana walikesha Bar

Tupo home ,uwanja utainama hata wewe ungewekwa ucheze...duh!
Elneny na Guendouzi ni gundu!! Leo balaa.
Mkuu kwakweli hujamtendea haki Shaw kwangu mimi ndo mchezaji pekee anastahili kuwa Man u huyo pogba hana attributes kabisa hajali timu imefungwa passion hamnaLeo tu?
Nitafutieni alieandika hayaMashabiki wenzangu wa united tuache kujipa sifa za kipuuzi kikosi chetu
Hatuna world class players
Hivi kweli lingard, smalling, jones, fred, sanchez, matic etc wanaweza kutupa epl kweli???
Achen kukuza sana wachezaji wetu ni wa kawaida mno huyo rashford media ya england imemkuza mpaka anajiona cr7 wakati hakuna kitu he is just another average english player huyo martial ndo mpuuzi wa kutupwa hajutumi hakabi anapiteza mipira anakaa tu sehemu yake anakosa magoli ya wazi etc lakin kuna wapumbavu huku wanaweza sema martial ni level za kina hazard, mane, sterling nk lukaku nae hana ata first touch nzuri hajui kucontrol mpira hajui kujiposition hajui kupiga pasi nk yaani kidogo ata yy anapambana kidogo anaonekana etcetc
KWA SASA NI POGBA TU NA DEGEA NDIO WACHEZAJI WETU WANAOWEZA KUINGIA KWENYE KIKOSI CHA MANCITY, BARCA , LIVERPOOL ETC SASA HII SI AIBU YAANI UNATAKA KUBEBA EPL AU UEFA HUKU UNAWACHEZAJI WAWILI TU BORA WENGINE WOTE TISA NI UCHAFU
Hahaha mshikaji wangu ..Ole wetu anakwamia wapi..??Aiseee mmmh jamaniiii
Alisajili hao kwa sababu hakupewa pesa ya wachezaji anaowataka
Hahahahahahaha HahahahahahahaWachezaji wamechoka sana utadhani Jana walikesha Bar
Kwani hao Man u anacheza na Barca au? Mbona nne ninyingi duhMechi ya leo kati yake na Everton, ni hayo tu..... asanteni....
ila samahani kwa kukosea jukwaa.
Pogba huwaga yupo juu ya timu mzeeKuna tatizo kwa wachezaji na pia lipo tatizo kwa Manager hasa sub alizifanya hazikuzungatia performance ya kipindi cha kwanza.
Kipindi cha kwanza Pogba,Matic & Jones walikuwa passangers sijui kwanini Ole alishindwa kakimbilia kuwatoa wachezaji wengine kashindwa kuwatoa underperforming players.
One day you will admit Jose was right manager for United ,Woodward made big mistake to not support him
Duuuuuuh!! Ndo tumefungwa nyingi iviiiii??? Mamaaa yanguu Manure yetu imepatwa na nini??