Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ile timu ya wanawake ingefanya vizuri kuliko hawa wa shenzi
FT: 4-0
Kocha sasa inabidi ajifunze hapa..hiki kikosi cha kipindi cha pili ndio kikosi cha kwanza Man U kwa sasa...ukiondoa ujinga ujinga wa Dalot&Martial, kikosi hiki ndicho kinatakiwa kianze Jamatano dhidi ya City.
 
1077560
 
Mimi mwenyewe nilipoona ameingia Scot nikajua katoka Matic, kuja kushangaa katoka Fred
Kuna tatizo kwa wachezaji na pia lipo tatizo kwa Manager hasa sub alizifanya hazikuzungatia performance ya kipindi cha kwanza.

Kipindi cha kwanza Pogba,Matic & Jones walikuwa passangers sijui kwanini Ole alishindwa kakimbilia kuwatoa wachezaji wengine kashindwa kuwatoa underperforming players.
 
Ndio naingia jamani, utaratibu wa mazishi ukoje, kamati imeundwa? mwenyekiti ndio nani?, katibu na mpokea rambirambi je?. Huu ni msiba mkubwa tusifanye utani jamani!
 
Back
Top Bottom