Usijali mkuu kwani maiti tutaisafirisha au hapahapa tunazikia ?Hahahahaha tushatia timu apa..
Timu ya kukusanya Rambi rambi ijiandae..
Kamati ya mazishi itaundwa apo baadae ..
Vile vile maturubai yafungwe mapema na watu wa kuomboleza waandaliwe ..
Sisi kamati kutoa pole na kukaribisha wageni tupo tayari...
Hahahahahahababababahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaa
asante Mbwehaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa mkimuacha Sanchez nani atamchukua? Nyie lakini Naye bana mzigo wenu uo
Mkuu hawa ni vilema timu viungo wehu ,beki wehu duh wauzieni TORREIRA maana hali si nzur kwaoNapenda Leo man u avutwe Shati, ila naona kama atashinda ,sidhan tena atakubali kufungwa na wolves
Tusubiri muda ufike ,ila nafs inaniambia Leo wanashinda , game zao za kupigwa zipo mbele
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Bundi pita hakuna msiba hapa
Mbwa ukimjua jina hata hakusumbui
Hahaaa ngapi huko kwani
Salami za Wolves izo..FA CUP 2016
MMEPIGWA BHANA
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Haahaa aisee poleni sana...Bora Jamaa angebaki kuwa kocha Wa muda tu kitendo cha kuwa kocha rasmi imekuwa gundu
Tumeshafika mkuu,
Sio gundu timu hamna paleHaahaa aisee poleni sana...Bora Jamaa angebaki kuwa kocha Wa muda tu kitendo cha kuwa kocha rasmi imekuwa gundu
Diogo Jota atawaonea mpaka lini?