Yani hawako serious mammmaae zao...tatizo ubishoo mwingi pumbavu wale!
Ngoja nilie kidogo nilale

Sio kuchapwa tu, kuchapwa mara mbili ndani ya wiki tatu na hawa jamaa.Bad night, inaumiza kuchapwa na hawa jamaa. Sijui kama kweli tupo serious na top four.
Kama amechezesha Mike Dean sisi tufanye nini sasa au unataka tukusaidie niniOGS na wachezaji wa kiingereza
Unahitaji goli unamtoa Lukaku unamuacha Lingard aliyepwaya
Degea amecheza chini ya kiwango leo
Nakumbusha tu, mechi ya leo amechezesha Mike Dean
Next stop, Vs Barca
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua anawabeba.Kama amechezesha Mike Dean sisi tufanye nini sasa au unataka tukusaidie nini
Pole aiseYani hawako serious mammmaae zao...tatizo ubishoo mwingi pumbavu wale!
Ngoja nilie kidogo nilale
Tusiposhinda leo madhara yake ni makubwa mno, tutakuwa hatarini kukosa top four, mbaya zaidi wachezaji watakosa kujiamini kwa mechi na Barcelona katikati ya wiki ijayo.
Heeeheeee hata ya Barca utasusia?Hii ni mechi yangu ya mwisho kutazama msimu huu. Siwezi kujiumiza bila sababu.
Inakera sana wachezaji wa timu kubwa kama MUFC kucheza kwa uoga kiasi hiki. Hawajiamini hata kidogo.
Ni kitu sahihi.
Tuandike barua UEFA kuwaomba Barcelona waendelee na hatua inayofuata, vinginevyo tutadhalilika.
Pole sana mate.Yani hawako serious mammmaae zao...tatizo ubishoo mwingi pumbavu wale!
Ngoja nilie kidogo nilale
Hahahahaha tushatia timu apa..