Pole mkuu, ndo mchezoHii ni mechi yangu ya mwisho kutazama msimu huu. Siwezi kujiumiza bila sababu.
Inakera sana wachezaji wa timu kubwa kama MUFC kucheza kwa uoga kiasi hiki. Hawajiamini hata kidogo.
Mmepigwa bhana..haaaaLakini huwa mnajiuliza mara ya mwisho kuchukua kombe ni lini? au mnapiga domo tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
FA CUP 2016Lakini huwa mnajiuliza mara ya mwisho kuchukua kombe ni lini? au mnapiga domo tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize tangu kastafu webb wamechukua EPL??Mmepigwa bhana..haaaa
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hii ni mechi yangu ya mwisho kutazama msimu huu. Siwezi kujiumiza bila sababu.
Inakera sana wachezaji wa timu kubwa kama MUFC kucheza kwa uoga kiasi hiki. Hawajiamini hata kidogo.
Ole sikuwa na imani naye hata kidogo.