Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii ni mechi yangu ya mwisho kutazama msimu huu. Siwezi kujiumiza bila sababu.

Inakera sana wachezaji wa timu kubwa kama MUFC kucheza kwa uoga kiasi hiki. Hawajiamini hata kidogo.
Hahahahahaha hahahahahaha sasa mkuu mbona mapema ivi aise..

Sisi fans wa man u tunatakiwa tuwe na roo ngumu bana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo ni yako ya kilabuni orijino ni hii
Screenshot_20190402-235846.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hawa ni vilema timu viungo wehu ,beki wehu duh wauzieni TORREIRA maana hali si nzur kwao

13SEPTEMBER
Hahaaa wana kiungo Fred wa paun mil 52 anachezaga utumbo tu ,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Ole is overrated hamna kocha kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Unajua kuna baadhi ya wanawake kabla awajaolewa wanakuwaga wema sana ...sasa akishaolewa yani na ndoa kabisa ndo unaanza ona tabia zao ...

Ole wetu kashalamba dume uko, mkivunja ndoa (mkataba) anàpita na kishimba za kushato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomben possession maana kuna muda dakika za 80

Manyua hakugusa Mpira

Wolves wana roho mbaya sana

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hahaaa wana kiungo Fred wa paun mil 52 anachezaga utumbo tu ,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Wapeni hata Geundozi aise tunawapoteza hawa

13SEPTEMBER
 
Wapeni hata Geundozi aise tunawapoteza hawa

13SEPTEMBER
Hahaaa wolves sikuwa na wafatilia sana

Hawa jamaa kumbe wana roho mbaya hivi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Nani anamtaka Pogba tena hapa??

Hii sio UNITED! Uza players wote tubaki na Rasford, De Gea na Show wengine woote hawana sifa za kucheza hapa.

Afu kuwa positive ni sawa ila kutetea ujinga ni upumbavu, OSG alisema haitaji beki!! Hivi ni kweli hatuhitaji beki??

Tunampenda ila ajue mafanikio ya team ndio furaha yetu si hizo posivities zake na aache unafiki, tunataka wachezaji wazuri UNITED.
 
Back
Top Bottom