Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe jamaa bana,
Bruno Fernandes is nothing without Penalty mbona huelewi.
Kabsàa mkuu
IMG-20200719-WA0025.jpg
 
★Kumbe hata kante hatakuwepo yani kikosi kilivyo kibovu kakosa tena mtu wa afadhari na bado wanatutambia mi sitasema sana tukutane saa 2 Usiku

Official: N'Golo Kanté will miss Sunday's FA Cup game between Man Untd and Chelsea, Lampard says. ★

manutd | View attachment 1511042
Kwa hiyo mlijiandaa kumkaba yeye mkamsahau Kovacic na Jorginho, poleni sana
 
Game Plan Mbovu

Timu Selection Mbovu

Formation Mbovu

Lawama ziende kwa kocha, DeGea na Maguire.

Sijaona goli la kuzidiwa ujanja. Yote ni uzembe.
 
Game Plan Mbovu

Timu Selection Mbovu

Formation Mbovu

Lawama ziende kwa kocha, DeGea na Maguire.

Sijaona goli la kuzidiwa ujanja. Yote ni uzembe.
Ndugu, goli la Mount nakubali Degea katoa zawadi lakini goli la kujifunga la Maguire, kasi ile na krosi ya Alonso beki yeyote angejifunga
Goli la kwanza la Giroud ni Master class, iliminywa kwa haraka bila ya Maguire kushtuka kinachotokea
 
Huu msiba ni wa wamasai nini, mbona msiba na maiti imekimbiwa kuna wageni tu
 
Huu msiba ni wa wamasai nini, mbona msiba na maiti imekimbiwa kuna wageni tu

Msiba wa tajiri mwenye majivuno ndivyo unavyokuwa, unakuta majirani ndo tunajipendekeza.

Eti wako kwenye kikao cha wana ndugu kujadili wasafirishe na ndege au watumie magari yao, na hawahitaji michango.

Tusubiri tu watakuja.
 
Mkuu tumekupiga mara 3 msimu huu, mbona hakukuwa na hizo pollution??

Hadi sasa kwa msimu huu Man United 3-1 Chelsea.
Mkuu kama mpira utachezeshwa fair kama alichofanya refa wa jana wewe hauna uwezo wa kunifunga mimi! Mara zote uliponifunga wewe pamoja na jamaa zako mnakuja jukwaani kusumbua na siyo huko tu Whatsapp, Instagram na Twitter huwa kunachafuka. Mtaani ndio hatuna amani ni kejeli na matusi wiki nzima.

Lakini sisi tumeshinda huu utani hauta chukua zaidi ya siku mbili tunawaza mbele.
 
Back
Top Bottom