Sababu ndio timu kubwa hata kibiashara inalipa zaidihuko ulaya media zao zanishangaza sana bingwa ni liva lakini timu inayoongoza kuzungumziwa ni united
Hata Kama amecopyUsiniambie kuwa umekaa chini umetuliza kichwa umeandika hii kitu,labda kama ume-copy na ku-paste humu kutoka katika vigroup vyenu vya whatsapp au fasibuku...
Maana umeandika nonsense mpaka uvivu kujibu hizo hoja zako,
Kwanza kafanye utafiti inawezekana umecopy mahala na kupaste humu bila kureview,
Soma tena,ukijiridhisha ndio utaamini kuwa huu ulioweka hapa ni UTO.
Yaani hiyo ndio best front3 bora EPL![]()
NYUMBU NI NYUMBU TU.
Huyo jamaa ana akili finyuhizo penalt ndo ziliamua matokeo?
Sawa endeleeni kushinda njaa
Chief..huyu jamaa ana ushoga kdg we mpotezee tu..cuz muda wote anashinda humu kupiga vijembe vya kishogashoga..We jamaa usini quote aisee, mimi sijaku ignore lakini post zako huwa hata sizisomi
Arsenal wametumia mbinu kama iyoLeo napenda twende na 3-4-1-2
Beki; Maguire,Linderlof,Bailly
Katikati; Brandon
williams,Matic,Pogba,Bissaka
Juu--Bruno Fernandez
Mbele-- Martial na rashford
Hii itatufanya tuwe very compact while our attacking force ikapiga kazi vilevile.
Hata mara ya kwanza tuliwapiga chelsea na man city kwa hii formationArsenal wametumia mbinu kama iyo
Inasaidia timu kiulinzi
Hahahahaha dahSasa nyie jamaa mnapoteza muda kujadili mechi ya Chelsea wakati mmeshashinda mechi:-
1. Kikosi chenu kizuri
2. Mko form hatare
3. Plus VAR.
Bora mjadili mechi ya West ham.
Chief..huyu jamaa ana ushoga kdg we mpotezee tu..cuz muda wote anashinda humu kupiga vijembe vya kishogashoga..
Mkuu acha kuidhalilisha timu yetu unataka tuwaige Arsenal ?Arsenal wametumia mbinu kama iyo
Inasaidia timu kiulinzi
Kuna team ukicheza unaweza kudefend siyo takataka Cheltako eti tukakabe wao ndio watukabe ssi wadefendArsenal wametumia mbinu kama iyo
Inasaidia timu kiulinzi

