Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Kuna watu wanasumbuliwa na matatizo ya akili mi nawaona tu ushindi wa leo wamechachamaa ka konda alonyimwa nauli,tulikuwa tunawapiga 4 kavu leo wao 1-3 lakini kelele zake sasa
kufungwa ni kufungwa tu hakuna shabiki anaependa kufungwa
 
★Kuna watu wanasumbuliwa na matatizo ya akili mi nawaona tu ushindi wa leo wamechachamaa ka konda alonyimwa nauli,tulikuwa tunawapiga 4 kavu leo wao 1-3 lakini kelele zake sasa

Wanasema mla ndizi husahau, ila mtupa maganda hasahau.

Nyinyi jamaa baada ya kushinda zile 4 mlitamba sana, mkawa mnapiga hesabu za kuwa mabingwa.

Tukaanza kusikia New Manchester United!
 
Shearer adai Gunnar amteme De Gea na Dean Henderson achukue nafasi yake
PSX_20200719_235706.jpg


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Manchester United the biggest failure in the world football

£80 ml Maguire no trophy
£65ml Bruno no trophy
£55 ml Bissaka no trophy
£ 200 ML O TROPHY

Leicester city nakutegemea sasa.
Siku si nying wanaenda kupigwa kwa sancho
 
Back
Top Bottom