Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Only goal. Bruno
1595185357604.gif
 
Isingekuwa poa tuwapige mara zote 4 kwa msimu, hata Aston Villa hawezi kukunali., so ilikuwa lazima tuache Chelsea ashinde kumlindia heshima.

Target yetu sisi ni top 3.
 
Isingekuwa poa tuwapige mara zote 4 kwa msimu, hata Aston Villa hawezi kukunali., so ilikuwa lazima tuache Chelsea ashinde kumlindia heshima.

Target yetu sisi ni top 3.
Baada ya kutobolewa ndo unaongea hivyo
 
Mimi nimeongea kwa vigezo na nikakutajia, United hawajapaki basi, tumegawana vipindi na Chelsea, wao wamecheza kipindi cha kwanza, sisi tumecheza kipindi cha 2

Kikosi chetu cha kwanza ni bora sana, kikicheza chote kwa kuanza na kumaliza hata mechi ya leo tungeshinda bila kutumia nguvu nyingi

OGS kajaribu ku manage injury na fatigue ya wachezaji kutokana na mbio za top 4, na haya ndio matokeo yaliyopatikana

Bado CV ya Arsenal na Spurs ya Mourinho hamuachani
Kwa hiki kikosi na namna mpira unachezwa nahisi Ole amefocus na kutafuta top 3 kuliko hii mechi na FA kwa ujumla.

Mc cane hahaha best team kwa kupaki basi nilikuambia ni ipi?
 
Back
Top Bottom