Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,902
- 20,112
Una kichwa kina kazi ya kufugia nywele na kunyoa viduku.Aitoe kuipeleka wapi? Kumbukumbu za Ole kwenye soka ni kushusha timu daraja.
Ulichoandika ndicho nilichouliza?
Una kichwa kina kazi ya kufugia nywele na kunyoa viduku.Aitoe kuipeleka wapi? Kumbukumbu za Ole kwenye soka ni kushusha timu daraja.
Wewe kuna shimo linakuwashaUna kichwa kina kazi ya kufugia nywele na kunyoa viduku.
Ulichoandika ndicho nilichouliza?
Katika Kile kikosi cha Tottenham key player ni yupi ambaye hakuwepo?Acha hizo, alikuwa hana key players wote , angekuwa na kikosi kamili jana msingechoropoka.
Key players kama nani?Acha hizo, alikuwa hana key players wote , angekuwa na kikosi kamili jana msingechoropoka.
Ha ha ha ha haTutaongea lugha moja tuu
Ha ha haTunaongea lugha moja sasa
Dele Alli na Lucas MouraKatika Kile kikosi cha Tottenham key player ni yupi ambaye hakuwepo?
Dele na Lucas MouraKey players kama nani?
Kane ile mechi alicheza,son pia alicheza,who else?
Mbona mechi ya kwanza hao wote walikuepoDele na Lucas Moura
Old trafford walikuwepo mbona tuliwapakata..Mourinho hapo Spurs Levy atamtimua kama mbwa koko ni swala la muda tuDele na Lucas Moura
Mechi zilizosalia ni nyepesi, ufukuze mtu ambae hata hajasajili??Old trafford walikuwepo mbona tuliwapakata..Mourinho hapo Spurs Levy atamtimua kama mbwa koko ni swala la muda tu
Lucas Moura siyo key player wa Spurs ni squad player tu.Dele Alli na Lucas Moura
Katika Kile kikosi cha Tottenham key player ni yupi ambaye hakuwepo?