ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Tutaongea lugha moja tuuIla martial mlaini sana
Tutaongea lugha moja tuuIla martial mlaini sana
Tatizo la Martial linaonekana wazi na kila mtu, halafu kuna mjinga mmoja anakuja kumtetea hapaTeam aipo vizuri kabisa kuna kazi ya ziada sana hadi team iwe vizuri anaitajika mshambuliaji mwenye uchu wa magoli na winga mwenye kasi

Tunaongea lugha moja sasaHii game Martial na James walikuwa wanatukaba sana



Tunaongea lugha moja sasaJames ni hopeless anashindwa na Greenwood na Martial anazingua sana wametukosesha point 3 leo.


Nimehuzunika sana kum-rate Rashford kwenye kundi moja na Martal(mvivu).✓Pogba ni most talented player we have..Hands down
✓Rashford na Martial walikuwa rusty today..Tunahitaji striker wazee
✓Pogba na Bruno wameonyesha wanaweza kucheza pamoja..Kazi sasa kwa Ole kukamilisha hicho kiungo
✓James is useless..Greenwood ni lethal kushinda yeye..Tuanze kumwanzisha Mason
✓The form of David de Gea is dropping,and it's really worry me
✓Maguire ile blunder hakupaswa kuifanya..yeye ni kiongozi inabidi awe mfano na sio kucheza kama David Luiz
✓Spurs walikuwa hovyo tu na sisi pia tulikuwa rusty..3 month without football match may be a reason
Next Shiefield United
GGMU

Rashford, Martial, James na Shaw were not in form kabisa first half yote.Hii game Martial na James walikuwa wanatukaba sana
Mkuu unajua sana, sio kama jamaa yule anaitwa #Darmian# anatulisha pumba.Maoni yangu.
Timu langu niliyoona jana naona bado tupo na morali ile ile kabla ya msimu kuwa suspended.
Ila kuna makosa kwenye defensive winga yaani ile mipira iliyokuwa inatua duh sipati picha Pogba angekuwa kiungo wa Tottenham na mipasi yake mirefu tungekufa nyingi tu.
McTomminay jamaa yuko vile vile, Pogba naona anakuja kudai nafasi yake, alikuwa anapanga anafokea mambo yakiwa hovyo akipata mpira anatoa kitu hatarishi, Fred yuko njema hadi nashindwa kujua kikos nani anaanza.
Daniel James apigwe bench Mason Greenwood awe anaanza. Dogo siku hizi anakuwa butu.
Mashabiki wa Arsenal walivyoshangilia kama vichaa goli la kwanza la Tottenham duh!
Nawavizia leo
All in all Bado tuko moto, Yaani koswa koswa tulizokuwa tunatoa kwa Tottenham zilinipa raha kuona mashabiki wa Chelsea tumbo joto.
Acha kutulisha pumba wewe, man city alivyoshinda jana ana cheza mpira kila siku? Kubalini timu lenu ni takataka na Europa itawausu tu akina namuna!
CFC![]()
Sisi Aseno tumebakiza pointi sita tu tumshushe nyumbu
Si ilikuchomeka mwiba laknArsenal hii hii iliyopigwa 6 - 0 na Man City kwa mechi mbili za hivi karibuni
Au unaongelea Arsenane iliyopigwa 6 kwa shoot on target 1 katika mechi za hivi karibuni walivyocheza na City
Sory,kumbe ulikuwa unaongelea Aseno
Rashford jana amecheza kama mchezaji wa Kiluvya FC..acha Mahaba..Alikuwa below averageNimehuzunika sana kum-rate Rashford kwenye kundi moja na Martal(mvivu).![]()
True..Nadhani tungeanza na Pogba Ighalo na Greenwood gemu ingekuwa tofautiRashford, Martial, James na Shaw were not in form kabisa first half yote.
That's why we struggled to make an impact kwenye final third ya Totenham.
Nimekulisha pumba wapi??Mkuu unajua sana, sio kama jamaa yule anaitwa #Darmian# anatulisha pumba.
Si ilikuchomeka mwiba lakn
Unaongelea mechi za miongo iliyopita we kibonde wangu wa top six vipiUmesahau miba 8 uliyopigwa
Unaongelea mechi za miongo iliyopita we kibonde wangu wa top six vipi
Unaongelea mechi za miongo iliyopita we kibonde wangu wa top six vipi
Mourinho akili nyingi sana, alisema Man Utd ni hatari sana kwenye counter attack, hivyo aliwaachia wamiliki mpira hivyo wajenge mashambulizi kuanzia nyuma. Kwa hili alijua atawamudu vizuri na alifanikiwa. Aliwakosa Moura na Dele Alli, wangekuwepo pengine hali ingekuwa tofauti.Mourinho alifanya homework yake vizuri sana dhidi ya Daniel James, Martial na Rashford.
Kama napambana nisishuke daraja basi hata nawe upo humohumo maana unaniacha sita halafu toti mbili.Pambana uwe hata top 10, maana upo kwenye relegation battle
Mourinho denied them ana opportunity to make decisions.