Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unaongelea mechi ya mwaka uliopita

Huoni hata aibu kujipitisha na kanga iliyolowa humu wakati ukishakojolowa vi 8, au unataka vingine
Eti mwaka uliopita hehe hujui kwenye football tunahesabu msimu.Hebu kalale.
 
Nawakumbusha Mourinho ni kocha mpuuzi na hana uwezo wa kuitoa timu ya Tottenham hapo ilipo.


Wale wafuasi wa MoU karibuni
 
Mkuu mpira wa wapi unaongelea...Rashford yuko pembeni na ameingia mara nyingi zaidi yake kwenye boksi kupambania mpira, Greenwood kaingia dakika za mwisho kapambana zaidi ya hilo mbulula..Halijui kuji-position pumbaf kabisa.
Una kichaa wewe ....
 
✓Pogba ni most talented player we have..Hands down

✓Rashford na Martial walikuwa rusty today..Tunahitaji striker wazee

✓Pogba na Bruno wameonyesha wanaweza kucheza pamoja..Kazi sasa kwa Ole kukamilisha hicho kiungo

✓James is useless..Greenwood ni lethal kushinda yeye..Tuanze kumwanzisha Mason

✓The form of David de Gea is dropping,and it's really worry me

✓Maguire ile blunder hakupaswa kuifanya..yeye ni kiongozi inabidi awe mfano na sio kucheza kama David Luiz

✓Spurs walikuwa hovyo tu na sisi pia tulikuwa rusty..3 month without football match may be a reason

Next Shiefield United

GGMU
Romero aanze kazi de gea akae benchi kidogo
 
Mourinho akili nyingi sana, alisema Man Utd ni hatari sana kwenye counter attack, hivyo aliwaachia wamiliki mpira hivyo wajenge mashambulizi kuanzia nyuma. Kwa hili alijua atawamudu vizuri na alifanikiwa. Aliwakosa Moura na Dele Alli, wangekuwepo pengine hali ingekuwa tofauti.
Alikuja OT tukamchakaza na hao kina Delle Ali..
 
Back
Top Bottom