Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni Matchday..Hawa blades inabidi tuwauwe..Spurs kashinda jana,na Chelsea ana big match kesho

First eleven kama hii itakuwa poa kwangu leo..

Romero

AWB Bailly Maguire Williams

Fernandes Matic/Scot Pogba

Greenwood Ighalo Rashford


✓Kuna kitu ambacho Matic anacho lakini Fred na Scott hawana,kitu hicho ni composure

✓Kuna kitu Fred na Scott wanacho lakini Matic hana kwa sasa,kitu hicho ni miguu ya kucover ile mid

Tunahitaji deep Mid mwenye vitu vyote viwili ili Pogba na Fernandes wateleze tu


GGMU
Tukishinda game ya leo, tutapunguza gap la points dhidi ya Leicester city kutoka 9 mpaka 6
Sijaizungumzia chelsea bcoz sisi tunaitaji nafasi ya 3 ambayo kaikalia Leicester
 
First Eleven vs Blades

Ningemshangaa sana Ole kama angeanza na James

GGMU

Screenshot_20200624-190622~2.jpg
 
Man Utd XI: De Gea, Wan-Bissaka, Lindelof, Maguire, Shaw, Matic, Fernandes, Pogba, Martial, Rashford, Greenwood

Subs: Romero, Bailly, Mata, Pereira, Fred, James, Ighalo, McTominay, Williams

Sheff Utd XI: Moore, Baldock, Stevens, Basham, Jagielka, Robinson, Norwood, Fleck, Lundstram, Mousset, McGoldrick

Subs: Verrips, L.Freeman, McBurnie, Sharp, K.Freeman, Osborn, Rodwell, Zivkovic, Berge
 
Ndugu zangu msaada tafadhali niko kichakani natamani kuicheki hii gem, Yeyote mwenye link yakuweza kuiona hii gem atupie na mimi nijumuike kuicheki timu yetu.
 
Huyu Rashford afanyiwe sub fasta Ighalo aingie hizo chance zingekuwa kambani tayari angekuwa Ighalo
 
Back
Top Bottom