Pogba tayar kisha prove ni world class player huwez kumueweka daraja moja na kiungo yoyote pale united
Pogba anacheza timu yoyote duniani ila sio hao uliowataja
Mata tayar kafanya makubwa na kashinda vitu vingi ngaz ya club na timu ya taifa
Mata tayar umr umekwenda huwez kumtafutia watu wa kufanya nao kazi zaidi anatakiwa kustaafu
Lingard ana miaka 27 au 26 hamna cha maana alichofanya
Lingard yupo kwenye umr wa ukomavu wa mpira lakin anashindwa kufanya vitu sahihi
James kacheza mech tatu naona umeona madhara yake ila kwa kuwa ni mdogo tunampa muda
Pogba anahitaj timu ya kushinda makombe kwa kuwa tayar yupo kwenye ubora wake ndio maana tunalaumu kumuweka na watu wasio na tija
Ndio maana unasikia kocha anasema nataka kujenga timu ya kumzunguka pogba sio jeseey lingard kwa nini sio jesey lingard jibu ni useless player
Tunapolaumu kumharibia pogba kiwango unaangalia mambo aliyofanya juventus na national team kisha unaangalia uwiano uliopo kule na huku sasa jaribu kutazama kwa engle hiyo nani ana mpotezea muda mwenzie
Kumbuka pogba sio mkabaji ila sisi tunataka awe mkabaji
Mkuu Dimaria alii prove Dunia kwamba ni world class, je alipokuja United kina nani walimfanya ashuke kiwango, Falcao, Sanchez wakishushwa na akina nani n.k
Kwa mfano hapa unasema akina Lingard ndio wanamsababisha Pogba asicheze vizuri. Nikikuuliza Lingard na nani sidhani kama utataja hata wachezaji 4 ambao utawaingiza kwenye hiyo blame game
Swali linakuja, akina Degea, Wan Bissaka, Shaw, Maquire, Lindelof, Tony Martial, Rashy, James je wote wanamuangusha Pogba? Je Pogba pale Ufaransa ana world class players tu wanaomzunguka, Pavard, Giroud, namba 3 wao yule n.k
Je pale Juve alikuwa amezungukwa na wachezaji wote world class players? Je unapotaja mafanikio ya Juve kwa wakati ule, ulikuwa unamtaja kama Pogba ndio ameibeba timu au Pogba was just another Juventus player
Pogba kucheza timu yote duniani, sidhani. Ana hiyo potential, KWELI na pengine mpaka anastaafu atabaki kuwa na POTENTIAL tu, lakini sio timu yoyote duniani anaweza kucheza. City hawezi kupata namba, na Pep alimkataa, Madrid pamoja na Luka kuwa kikongwe sidhani kama anaweza kumvua namba. Barca ndio kabisaa.
Hapa nazungumzia uwezo wake uwanjani na influence yake kwenye timu, hivi vitu ukiviunganisha kuna viungo wengi duniani wanaweza kuwa mbele ya Pogba.
I would rather have Ericksen, Madson, BF, Milinkovic than Pogba in my team