Sijui kitu gani kikichofanya tushindwe kutumia nguvu zetu zote kumpata mmojawapo hapo kati ya Ericksen, Madison au BF. Pamoja na mapungufu yanayotajwa kuhusu Bruno siamini kama hiyo ni sababu ya Msingi, nadhani sababu he is not EnglishBelo, wanavyosema wenye timu yao humu ndani ni kwamba huu mfumo wa 4-2-3-1 ndio uliokuwa unatupa mafanikio kwenye mechi zetu za kujipima nguvu ikiwemo dhidi ya milan brothers, spurs na wengineo hivyo basi kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea kutumika kwa mfumo huu. badala ya ule tuliouzoea wa 4-3-3 kwa takribani misimu mitatu iliopita.
unajua kwa kiasi kikubwa sana wengi wetu hatufahamu lolote linalotendeka ndani ya klabu kwa sababu hatuna uwezo wa kuaccess taarifa nyeti zinazoihusu klabu matokeo tumeishia kuwa watabiri kwa yale yanayo na yatakayotendeka mbeleni kwa kufuata zaidi mdundo wa vyombo vya habari.
kuna mwanadamu mmoja tu ambaye huenda akambadilisha fikra bwana ole ili arudishe tena mfumo wa 4-3-3 ambao unamwezesha paul pogba kucheza juu zaidi akitokea upande wa kushoto ambao ndio upande tunaoutegemea zaidi kupika mashambulizi na si mwengine isipokuwa ni fred the red.
- kwa kutumia huu utabiri acha niamini ya kwamba bwana OGS alitegemea ingizo la kiungo mwengine mshambualiaji mfano wa eriksen, bruno fernandez au maddison atakayekuja kucheza namba 10 eneo ambalo tunamtumia jesse lingard kwa msimu huu baada ya kuswitch mfumo wa 4-2-3-1 tokea preseason, lakini ndio hivyo kama kawaida kwa mara nyengine tena ed woodward na rafiki yake matt judge walishindwa kufanikisha usajili wowote wa kiungo huku wakifahamu fika tumempoteza ander herrera na marouanne fellaini.
- kwa kutumia utabiri huo huo acha pia niamini ya kwamba OGS huenda ndiye aliyefelisha baadhi ya sajili za wachezaji mfano wa bruno fernandez kwa hoja ya kukosa DNA zitakazomwezesha kuipigania klabu kwa jasho lake haijalishi kama atalipwa hela ndogo na kumuona jesse lingard ndiye kiungo sahihi zaidi kucheza namba 10 huku paul na scott wakicheza deep midfields eneo ambalo tumekwishazoea tukiwatumia herrera na nemanja matic.
kama fred atacheza vizuri pindi atakapopewa nafasi basi tutaswitch mfumo wa 4-3-3 kwa sababu OGS hana uwezo wa kumweka nje paul pogba ili apate kuendeleza mfumo wake wa 4-2-3-1.
pia tufahamu si nemanja matic, perreira wala fred atakeyekuwa na uthubutu wa kumfanya OGS abadilishe msimamo wa kifikra kwa kumweka nje scott mctominay kwenye eneo la kiungo mkabaji kwa sababu hao wote hawana DNA za kimanchester ukilingansha na scott hivyo basi wapenzi wa nemanja matic kwa msimu huu mujiandae kisaikolojia.
OGS na benchi lake wanamuona scott mctominay kama ndiye roy keane wetu mpya.
View attachment 1189467
- fred ndiye aliyeshikilia ufunguo utakaomwezesha OGS abadili style ya kiuchezaji mara kwa mara msimu huu.
- fred ndiye aliyeshikilia ufunguo wake mwenyewe utakaomwezesha kufungua au kufunga chumba chake cha kuhifadhia vifaa pale AON complex a.k.a carrington, kama atacheza vizuri basi msimu ujao ataendelea kuwepo klabuni ila kama ataendelea kucheza ovyo kwa ninavyomtazama solskajer na hii recruitment yake ya karne ya 20 aliyokuja nayo huenda nafasi yake rasmi akapewa gardner au yule mjinga anayetokea newcastle united anayeitwa sean longstaff
Soka halina ubinadamu, cheki sasa ushaumbukaTangu Pre Season kumetokea waganga njaa wengi , wakiwemo mashabiki Wa United wakipiga ramli kuwa timu Yetu ingekula vipigo bandika bandua ...
Tulionyana humu hizo ni ramli chochezi ... Sasa naona ramli zinazidi kuendelezwa na mashabiki wa timu pinzani wakiungwa mkono na Genge Dogo la mabaki ya nduli morinho lililobaki kwenye viunga vya old Trafford ..
Hili Genge nalikumbusha kuwa tumecheza mechi mbili na tuna pointi 4 ...
Sasa endeleeni kuchoma ubani na kuvunja Nazi timu ifanye vibaya ..
Nawakumbusha Next point ni Crystal Palace pelekeni habari moto atakaoupata itakuwa ujumbe kwa wazandiki wote kuwa "Tumewashaaaa"
Nawatakia Weekend Njema..
I think vitu vyote vinatakiwa kuwa balanced la si hivyo ni kupanicMkuu, tupo nyumbani, tunahitaji goli, then unaanzaje kumtoa Scot (mkabaji) halafu umuingize Matic (mkabaji mwingine)
Idea ilikuwa kuongeza nguvu kwenye mashambulizi na si kuimarisha ulinzi
Sitakuja kaa na kuangalia mechi ya man kamwe
Hamia Manchester City mkuu
Bonge la timu yaani tajiri yao anapenda sana mpira yaani
Dah! Kazi munayo Haki ya Mungu.
Manchester United news: Ole Gunnar Solskjaer promises to stick with Jesse Lingard despite dry spell | Goal.com
Ole Gunnar Solskjaer has defended Jesse Lingard's poor start to the season, insisting his "energy" is important to the way Manchester United play.www.goal.com
Tafadhali mkuu, usimseme mchezaji wetu "anaewika ulaya" na ujue kuwa ametoka academy bora Uingereza.Inaitwa Lingard all the way
Inaitwa Lingard all the day
Katika msimu uliopita uliochezwa ndani ya miezi kumi ya mwaka Jesse Lingard alifunga na kuassist mwezi wa December peke yake
August 2018 - no any goal no any Assist for Lingard
September 2018 -no any goal no any Assist for Lingard
October 2018 - no any goal no any Assist for Lingard
November 2018- no any goal no any Assist for Lingard
December 2018- four goals two assist for Lingard
Kituko sasa
Mwaka mzima wa kalenda wa 2019 Jesse Lingard hajafunga hata goli moja wala kutoa Assist hata moja
Since March P12 W3 D3 L6 in the premier league.
Ole Gunna Solskjaer
Bado anataka na sanchez asepe hadi maji tuita mma
exactlyPeter Drury:- "You look at Marcus Rashford, he has the speed and the shooting style of Cristiano Ronaldo but the brains of Christian Benteke "
Nimecheka kweli na huyu jamaa. Rashford anaspidi ila ubongo wa Benteke..
mkuu mbona bado ni mapema sana kujipiga ban ya muda mrefu.kwa mtazamo wangu sidhani kama itakuwa ni sahihi kuzitumia hizi mechi tatu (chelsea, wolves, palace) tulizocheza kama ni samples za kufanyia maamuzi na utabiri kuhusiana na muelekeo mzima wa klabu kwenye ligi kuu na mashindano mengineo.
bado nina imani kubwa sana ya klabu kufanya vizuri msimu huu kama tutazifanyia kazi hizi warning signs tulizopewa na wapinzani wetu uchwara tena ligi ikiwa bado ndio kwanza imeanza.
ila kama tutazipuuzia hizi warning signs basi hata mimi pia nitafuata mkondo wako kwa kujipiga ban ya muda mrefu kama nilivyofanya nyakati za utawala wa louis van gaal na mdogo wake david moyes.
tusipokuwa makini huenda jose mourinho huyu tuliyekuwa tunamdhihaki kwa lugha mbali mbali akawa ndiye kocha pekee mwenye mafanikio ndani ya klabu tokea aondoke sir alex ferguson.
kumaliza nafasi ya pili nikiwa kama kocha wa manchester united ndio mafanikio yangu makubwa klabuni.
dah! wengi wetu tulimuona jamaa ni mwehu baada ya kutoa kauli hii.
Dah! Kazi munayo Haki ya Mungu.
Manchester United news: Ole Gunnar Solskjaer promises to stick with Jesse Lingard despite dry spell | Goal.com
Ole Gunnar Solskjaer has defended Jesse Lingard's poor start to the season, insisting his "energy" is important to the way Manchester United play.www.goal.com
naona unaanza kujitumbulia siri zako mkuu hongeraHiyo chupa kwenye avatar itakua wanakuwekea pahala sio kwa akili hizo mbovu
Kwaiyo unaona Tominay kazi yake ndogo
Ila huyu mtoto ana akili sana na analijua goli, shida ipo kwa Ole na upangaji wake tu.
Hivi ni kweli kwamba Matic ndio ameisha kabisa?
Pogba amemzidi mbali GerladTrue. Jamaa anajua, anapiga mipasi kama ya Gerrard enzi Torres yupo.
Kiungo hakikuwa overrun mkuu, goli tulilofungwa lilitokana na Kupoteza mpira wakati tunashambulia kwa maana kwamba hata angekuwepo Matic/Scot uwanjani nao wangekuwa mbele kushambulia kwa hiyo tungepigwa tu kwa goli la namna ile (counter attack)I think vitu vyote vinatakiwa kuwa balanced la si hivyo ni kupanic
I think Unapotafuta goli boresha safu ya mashambulizi huku Defensive midfield ikiwa hai"face" overruns. Goli la Patrick van Anholt ukiangalia pale unaona kabisa kiungo cha MUFC kilikuwa overrun kama sio walichoka