Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu nikupe nini jamaaan umeufanya usiku wangu uwe mzuri sana binamu

Nakupenda sana binamu nikitaka nyimbo yoyote unaniwekea Mungu azidi kukuweka na usumbufu wangu huuu nizoee tu mie ndio nilivyo

Naipenda sana hii nyimbo binamu na hiyo band ni band bora kwangu kuliko band zozote binamu si unajua mie kizazi cha dot.com sijakutakuna na bakurutu wala vijana jazz au msondo wala sikinde


Am flattered, nashukuru aunt yangu wa ukweli. Furaha yako anaifurahia anko wangu na Mimi ndo nafurahia pia.

Mwenyewe zama za kina Mzee Jangala so utajua kabisa rtd ndo ilikuwa mpango mzima.
Nakupenda pia, sana tu na hasa unaponihakikishia kwenda kuleee (sipataji maana nishaanza kupata wasiwasi watu watatangulia kabla yetu)
 
Muziki: Good to See You


Nakusalimia Kapuku mheshimika, unajua kabisa salamu katika kipengele hiki ni muhimu. Yaani salamu ni muhimu hata kile kidole pendwa ambacho natumia kutaipu kinajua nini cha kufanya katika para ya kwanza. naamini umekuwa na siku nzuri na muda huu wa usiku umejituliza kutafakari nini ufanikishe kesho. Hongera na ni jambo zuri kukuona hapa.

Kuonesha fuuraha huwa sishindwi na lazima niseme kuwa karibu sana Shunie , Mndali ndanyelakakomu na shedede , nyie watu tuliwamiss hapa na zaidi aunt yangu ambaye tuna mipango mkakati wa maana sana, mkakati wa kujamiiana (soscialize) tukiwa na safari ya maisha yangu kule Kigamboni.

Muziki sasa, kwanza Bobi Wine mwanamuziki wa kule Uganda kashinda Ubunge na ni furaha sana jijini Kampala, alikuwa ni mgombea huru na bungeni kakaa na wapinzani. Sasa hapa kwetu mwaka 2005 Twanga Pepeta, magwiji hawa wa dansi chini ya Le generali na rapa mkali Diof walinogesha mwaka kwa album yao Safari.

kwa niaba ya Shunie tafadhari burudika na wimbo huu.




Asante Obe....OOOH MOLA NIPE UWEZO.......HIVI DIOUF YUPO WAPI JAMANI?KITAMBO

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Am flattered, nashukuru aunt yangu wa ukweli. Furaha yako anaifurahia anko wangu na Mimi ndo nafurahia pia.

Mwenyewe zama za kina Mzee Jangala so utajua kabisa rtd ndo ilikuwa mpango mzima.
Nakupenda pia, sana tu na hasa unaponihakikishia kwenda kuleee (sipataji maana nishaanza kupata wasiwasi watu watatangulia kabla yetu)
Binamu kule hamna wa kuwahi wa kwanza ni wa kwanza tu niamini me tutaenda na safari ipooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom