Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Nimempa option tu,hila akipenda apuuze tu...Kama umezoea usilie lie basi akurudie we mwanaume jikaze ujue kubaliana na hali mmekutana ukubwani tu
Jimena mamy kaka angu anakuulizia kapita mda huuMiss you too
Yeye hatakiiiii ndio mana akakuachaNimempa option tu,hila akipenda apuuze tu...
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Tembea uone2/Maria De Nazare![]()
![]()
Huyu binti amezaliwa miaka 23 iliyopita na bado anadunda tu
Alizaliwa na vichwa viwili vinavyofanya kazi vizuri kabisa yaani kama aina fulani ile ya mnyama mwenye vichwa viwili
Wazazi wakaamua kumpa jina linalofanana na manage Yesu Maria wa Nazareth ila usilitaji bure jina la Bikira Maria hivyo huyu anaitwa tu MaraDe Nazare
Huyu ni binti wa Kibrazil kiuhalisia ni mapacha walioungana yaani chini ni mtu mmoja ila juu ndo wawili au tuseme tu mtu mwenye vichwa viwili
.......
Mwache atafika tuuMfate pm
Binamuuuuu nimeshachagua mwenyewe heshima yako kwanza nilikumiss pia jamaan mama mchuchu anakusalimia sana

Sent from my Motorola bapa kimeoNajiona mpya ujue kukutana na hayo mambo ya signature jaman ya simu unayotumi aisee nimetoa tena sijui itarudi
Sent from my Motorola bapa kimeo




aisee nimeshatoa mie ikirudi tena basi jamaan mnisamehe nahisi app ya jf kuna tatizo
Karibu mkuuWakuu habari za siku??..,nawapenda sana mishe mishe zanifanya niwe bize, na nisiingie kabisa jukwaani.
♡Cc.mndali-salamu zako nimezipata kakaangu tuko pamoja mno..
♡Cc.shunie-nimekumisi sana lee mzima??
♡Cc.shululu-nimekumissi afande mwenzangu vip shemeji yangu mzima??
♤Cc.lee empire-nimekumis sana blaza vip porini kwema??
♡Cc.bitoz-nimemisi story zako kaka
♡Cc.shimba ya buyense-nimemisi utani wako mkuu tuko pamoja.
♡cc.husna muba-japo kuachwa ni kubaya,hila ukikuzoea ni kuzuri sana, bado nakupenda ukiona vip nirudie, DOOR IS OPEN FOR YOU.
Pia nimewamisi wote hata ambao sijawataja list ni kubwa
-sakayo
-nyagei
-transcend
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Binamu nimebipiwaaa ??Good to see you, aunt yangu wa ukweli
![]()
Ni wewe tuKaka angu mie ndio jana imekuwaje![]()
Binamu nimebipiwaaa ??
Kweli kabisaa![]()
![]()
nishazaoea ndomana nimemwambia mapemaaa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
😕 😕 😕 😕kwa kweli aunt nadhani kuna mtu anairoga simu yangu au ananiroga mimi binafsi. Nimeweka maua na nikaweka tangazo humu kuwa natest maua, lakini ajabu hayajaonekana, na hata nikiangalia tena hayaonekani.
Hivi unadhani hii ni kawaida?
Aliyenipa simu anajua alichofanya