Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
We naeeEwaaaaaaah
Special kwa binamu![]()
![]()
![]()
We naeeEwaaaaaaah
Special kwa binamu![]()
![]()
![]()
Atakuwa kaja kivingineKweliii mke mwee sijawahi muona
Muulze mpendwa wakoHiyo kapuku hotel iko maeneo gn nikapate diner?!
Asante sana kaka nimekaribiaPoa dada karibu tulisongeshe
Hata me naona mke mwee hapa ndio nyumbani kwetu jamaan napapenda sana kapuku mie jamaan

Yko busy anajaribisha kutuma mauaBinamu obeeeeeeeeee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aaa wapi usile kiepe mpendwa ni hatari kwa afya yakoKula chips
Mpaka aje aione hii post yko cio leoAlafu na wewe uache tabia ya kutoskip page ukichelewa ....
![]()
![]()
![]()
Na wala hauonei hamu?!Mi sijala ugali Siku ya 3 hii
Aache kukariri
![]()
![]()
![]()
......
Na ukiona mtu anabembeleza penzi huyo naye ni "mtu mdogo"
Ukiona thread inabembeleza watu wapost hiyo pia ni thread ndogo
Ukiona mtu anabembeleza urafiki huyo pia ni "rafiki mdogo"
![]()
![]()
![]()
........
loh!
Mfate pmMpaka aje aione hii post yko cio leo
Pamoja dadaAsante sana kaka nimekaribia
![]()
Ukiambiwa nipe muda nifikirie ujue umeuzwa maana Dk 1 unusu pekee inatosha
......
inanoga kuzungusha zungusha kidogoShunie anaomba wimbo wa ukaribisho
Mambo Obe
Binamuuuuu nimeshachagua mwenyewe heshima yako kwanza nilikumiss pia jamaan mama mchuchu anakusalimia sanaUsiniambie aunt yangu karudi jamani, unajua nilivyommiss hadi nikakonda (well, sio kukonda mwili bali vidole vya kutaipia, huwa natumia kile kidole pendwa)
Hebu pendekeza wewe tumburudishe
Nimewamiss munoooooo
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app