Nakuunga mkono kwa hili, saa nyingien huwa nawaza huyu anko nilimkosea nini jamani, kumuomba zawadi ya simu tu, ukweli alinipa. Ila sasa simu haina maua, haina chip, yaani haina vingi tu.
pole mpenwa wa Husna
Mnalaliana mapemaaUsiku mwema makapuku wote
Pamoja sana mdauAsante sana Bitoz
Pamoja sana mdauAsante sana ubarikiwe kwa 10 bora leo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Aahaaa kumbe shida anayo mwenyeweFitina wapi ...mimi nilitaka kumfundisha akadai Fatuma atamfundishaa
Muziki: Good to See You
Nakusalimia Kapuku mheshimika, unajua kabisa salamu katika kipengele hiki ni muhimu. Yaani salamu ni muhimu hata kile kidole pendwa ambacho natumia kutaipu kinajua nini cha kufanya katika para ya kwanza. naamini umekuwa na siku nzuri na muda huu wa usiku umejituliza kutafakari nini ufanikishe kesho. Hongera na ni jambo zuri kukuona hapa.
Kuonesha fuuraha huwa sishindwi na lazima niseme kuwa karibu sana Shunie , Mndali ndanyelakakomu na shedede , nyie watu tuliwamiss hapa na zaidi aunt yangu ambaye tuna mipango mkakati wa maana sana, mkakati wa kujamiiana (soscialize) tukiwa na safari ya maisha yangu kule Kigamboni.
Muziki sasa, kwanza Bobi Wine mwanamuziki wa kule Uganda kashinda Ubunge na ni furaha sana jijini Kampala, alikuwa ni mgombea huru na bungeni kakaa na wapinzani. Sasa hapa kwetu mwaka 2005 Twanga Pepeta, magwiji hawa wa dansi chini ya Le generali na rapa mkali Diof walinogesha mwaka kwa album yao Safari.
kwa niaba ya Shunie tafadhari burudika na wimbo huu.
umeufanya usiku wangu uwe mzuri sana binamu
na usumbufu wangu huuu nizoee tu mie ndio nilivyo
Umetumia nini kuingia huku?TECNO N8 HAIWAKI, NIFANYEJE?
Nisaidiei jamani. Simu ya Tigo Tecno N8 haitaki kabisa kuwaka. Nimechomoa na kurudisha battery lakini hakuna tu.
Nifanyeje? Wajuzi nisaidieni.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Km una mkwanja wa kueleweka inawezekana bila kusubiri bahati ya MuumbaHuwa natamani kweeeli hao triple jamani.... Mara moja tuuu baaasi
Ijumaa mwendo wa kiburudaniIjmaa ingelikuwa powaaa
Binamu ukipewa zawadi usitoe lawama binamu yangu ata kama kibaya we kichekee tu na asante juu ukiwa peke yako ndio ucheke weeeeh mbavu huna kwa ulichopewaNakuunga mkono kwa hili, saa nyingien huwa nawaza huyu anko nilimkosea nini jamani, kumuomba zawadi ya simu tu, ukweli alinipa. Ila sasa simu haina maua, haina chip, yaani haina vingi tu.
Sana jimena msikilize kaka yetu jamaan anakupenda yupo mpwekeJamani huyu kaka ana Dada wanampenda hatari
Wala haina shida, mie mwenyewe simtakii..Yeye hatakiiiii ndio mana akakuacha
Shemela nimekumiss ujue ni nini lakiniiiiSheeemeeelaaa za siikuu, nitapitaa kuwasalimiiiaa
Le mutuz le kitambiz mutu ya bake bawiliiMdau tunakumbushana na kuelimishana na hapa kila mtu mtaalam tuelimishane...
Akiii shemela ndio mambo mageni nimekutana nayoUmenasa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Gt you bobIjumaa mwendo wa kiburudani
.....