Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shunie, hivi nikuite mara ngapi ili utambue kuwa nilikumiss sana na hata Safari lager ikageuka kuwa chungu huku mvinyo ukichacha.
Nimefurahi kukuona tena (huwa siwasemei wengine, maana kama kama nikikaribishwa msosi wale wa kwa niaba wataambulia kula kwa macho)
Binamu hunishindi mie jamaan nilimiss vituko vyako binamu nimefurahi pia binamu kuonana na wewe tena

Ahahhaha umenichekesha eti huwezi kuwasemea wengine halaf binamu we mchoyo ujue unaonekana

Tumosa kaniambia unajifunza kuweka maua binamu
 
Hehe, nimemuona aunt yangu na safari ya Kigamboni naiona inanukia.

Kama utatusindikiza hakikisha umeulamba, mambo ya kuja na msuko tangu pasaka tutaachania kwenye pantoni
tutamnunulia brazillian hair asitutie aibu kigamboni safari ipooooooo
 
Wakuu habari za siku??..,nawapenda sana mishe mishe zanifanya niwe bize, na nisiingie kabisa jukwaani.

♡Cc.mndali-salamu zako nimezipata kakaangu tuko pamoja mno..

♡Cc.shunie-nimekumisi sana lee mzima??

♡Cc.shululu-nimekumissi afande mwenzangu vip shemeji yangu mzima??

♤Cc.lee empire-nimekumis sana blaza vip porini kwema??

♡Cc.bitoz-nimemisi story zako kaka

♡Cc.shimba ya buyense-nimemisi utani wako mkuu tuko pamoja.

♡cc.husna muba-japo kuachwa ni kubaya,hila ukikuzoea ni kuzuri sana, bado nakupenda ukiona vip nirudie, DOOR IS OPEN FOR YOU.
Pia nimewamisi wote hata ambao sijawataja list ni kubwa
-sakayo
-nyagei
-transcend



Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari za siku??..,nawapenda sana mishe mishe zanifanya niwe bize, na nisiingie kabisa jukwaani.

♡Cc.mndali-salamu zako nimezipata kakaangu tuko pamoja mno..

♡Cc.shunie-nimekumisi sana lee mzima??

♡Cc.shululu-nimekumissi afande mwenzangu vip shemeji yangu mzima??

♤Cc.lee empire-nimekumis sana blaza vip porini kwema??

♡Cc.bitoz-nimemisi story zako kaka

♡Cc.shimba ya buyense-nimemisi utani wako mkuu tuko pamoja.

♡cc.husna muba-japo kuachwa ni kubaya,hila ukikuzoea ni kuzuri sana, bado nakupenda ukiona vip nirudie, DOOR IS OPEN FOR YOU.
Pia nimewamisi wote hata ambao sijawataja list ni kubwa
-sakayo
-nyagei
-transcend



Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Nimependa hapo kuachwa ni kubaya ukizoea ni kuzuri Ahahhaha we shedede kubaliana na hali ujue kuna maisha bada ya kuachwa lee mzima anakusikia
 
Binamu obeeeeeeeeee


Good to see you, aunt yangu wa ukweli

AA7Dz61.gif
 
9/Hazel Jones
d8b33b5dda7df285bc613bea06273108.jpg
2f24682c0af169ea6426dd0363eb50f4.jpg

Demu Huyu alizaliwa na uke pea mbili
Huyu alisumbuliwa ugonjwa wa kushangaza wakati anakaribia kuvunja ungo na akajikuta anapata hedhi mfululizo kama mvua za masika
Anatokea huko High Wycombe nchini Uingereza
Tatizo lake linajulikana kama Uterus Didelphys yaani pia ana vyumba viwili vya uzazi
Alipoambiwa na dokta kwamba ana uke na vyumba vya uzazi pea mbili akamjibu abajisikia fahari japo unahitaji mtu antoe bikra kote kote......mi simo nasema simo !!
........
Doh
 
8/George Lippert
a2c9260ceead33c37d654559a3d8cd5d.jpg
87df7bb7be7af1dc80065b8394011e69.jpg

Huyu George jamani kapendelewa
Alizaliwa mwaka 1844
Alizaliwa akiwa na miguu mitatu na mioyo miwili lakini ilipofika siku ya kufa haikufua dafu mioyo yote injini zilisimama na nshua akavuta kama wengine tu wenye moyo mmoja!!
Huyu jamaa hakujua kama ana mioyo miwili tena iliyo futi hadi mwaka 1906 alipoenda hospitali na Daktari kumtonya ana moyo wa ziada
Miguu yake yote mitatu ilikuwa mizima na jamaa ukimchokoza utakula mateke zaidi ya shukrani ya punda.....Huyu ndo bwana Lippert
Miguuni jumla alikuwa na vidole 16
Hadi leo jamaa rekodi zake bado ni funika bovu labda zivunjwe na wanyama wengine ila siyo binadamu
........
Huyu kweli kapendelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom