Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Namshkuru Mungu mke mwee mpe salaam zangu sanaHatujambo wangu habari ya chimbo,shemejio mzima kabisa
Namshkuru Mungu mke mwee mpe salaam zangu sanaHatujambo wangu habari ya chimbo,shemejio mzima kabisa
Nashukuru umerudi mke mweee karibu nyumbani tunaendlea kulisongesha gurudumu la kfNilipata salam zako sana mke mwee si unajua ninavyokupenda [emoji10][emoji10] nimetoka kwa lege dude limeamshwa sema kuna watu wanaharibu sana
Kweliii mke mwee sijawahi muona[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sante mke mweePole mke mweeee
Hiyo kapuku hotel iko maeneo gn nikapate diner?!Ukiwa unabugia ugali kibua mimi nakushushia tetesi za usajiliii kwa udhamini mnono wa kapuku hotel...
Twende sawa....
Hata me naona mke mwee hapa ndio nyumbani kwetu jamaan napapenda sana kapuku mie jamaanNashukuru umerudi mke mweee karibu nyumbani tunaendlea kulisongesha gurudumu la kf
DadakeHaleluyaa
Kaka angu mie jamaan za wewe unaendeleaje lakiniDadake
Mpendwa atakuletaaHiyo kapuku hotel iko maeneo gn nikapate diner?!
Mi niko poa dada za huko ulikoKaka angu mie jamaan za wewe unaendeleaje lakini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wali kila siku utakuwa hunyi weweeHi Kapuku hotel mpishi hatendi haki kabisa anko, hivi ni lazima kila mchana tupikiwe ugali?
Wengine ni watu wa wali kwenda mbele, asubuhi tunaanza na vitumbua, mchana biriani , jioni walinazi. Kabla hakujakucha tunagonga kiporo
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Mie zaidi mke mwee sana jamaan nimerudi tupo pamoja mke mwee
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]...eti eeh, halafu nile nini? Usiniambie kuhusu ugali?
Za huku nilipo ni salama kabisa kakaMi niko poa dada za huko uliko
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hii misosi si mpaka uwe unaumwa. Unaongeza na Fanta passion.
Poa dada karibu tulisongesheZa huku nilipo ni salama kabisa kaka
Zmefika ucjaliNamshkuru Mungu mke mwee mpe salaam zangu sana
Alafu na wewe uache tabia ya kutoskip page ukichelewa ....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wali kila siku utakuwa hunyi wewee