Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,159
- 11,474
Mbowe na wenzake wanahela ya kujitoa bila kuchangiwa wanaumiza watu wanyonge eti wawachangie!
Kwanini unateseka?Maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari!Mbowe na wenzake wanahela ya kujitoa bila kuchangiwa wanaumiza watu wanyonge eti wawachangie!
Sijaona kesi ya uchochezi kwa viongozi wa ccm wanaohamasisha kupigwa au kuuwawa kwa wapinzani fulani,sheria sio msumeno!Jeuri ya kulipa kwa sasa imepatikana lakini waambieni viongozi wenu kuwa hawapo juu ya sheria.
Yote yanayowakuta na sisi tunapovunja sheria yanatukuta pia.
Hongera. Siku za usoni mtashika madaraka uwe na subra tu lakini usipojipambania mwenyewe hali yako itabaki hivyo hivyo.Kweli kabisa,mfano mzuri mimi hapa Ndondocha wa upinzani wa milele
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu nijikumbushe lugha hii kama bado nipo vizuri ama nimeanza kusahau. Ha ha haaa!Kolaba oli Mwanza ngambila nkunyegeze Diamond onywe, olye, obwagale!
Si kiongozi tu NI CCM YOTE ,Wamefunga na kutesa mpaka masheikh , Mungu awateremshie LaanaNchi hii imevamiwa na kiongozi mwovu, asie haya na shetani mwenye wazimu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hadi sasa hujaona tatizo ni lipi hapa??Sijaona kesi ya uchochezi kwa viongozi wa ccm wanaohamasisha kupigwa au kuuwawa kwa wapinzani fulani,sheria sio msumeno!
Kauli za akina nani?Hivi hadi sasa hujaona tatizo ni lipi hapa??
Sijui ulikuwa wapi siku ile lakini unaweza kuwauliza waliokuwepo humu jamvini kuhusu kauli za viongozi wetu waliyoitoa siku ile. Ninahisi kauli zile zilikuwa kama mafuta ya petroli ambayo yalikosa kiwashio na hewa ya oxygen.
Kama huwajui na hufahamu kilichotokea siku hiyo basi hauna haja ya kuuliza. Ila unaweza kwenda kwenye archive ya magazeti yetu karibu yote utakuta habari hiyo pamoja na wahusika.Kauli za akina nani?
Kolaba oli Mwanza ngambila nkunyegeze Diamond onywe, olye, obwagale!
Unamchangia mtu aliyepiga bilioni 13 kwa miaka 4! Kuna kikundi hakijisikii vibaya Mbowe anapoiba kwa sababu ni mwenzao ktk chama, ni mwenzao ktk kabila. Tatizo ni hao wanaojidai kuchangia bila kujua anayekusanya ni nani na anapanga kuzifanyia nini? wako ktk mkumbo tu!
Mambo ni mengi?Unazungumzia waliyosema viongozi wa CCM juu ya kuwapiga na kuwauwa wapinzani au unazungumzia kauli za akina Mbowe siku wanaandamana kwenda tume ya uchaguzi?Kama huwajui na hufahamu kilichotokea siku hiyo basi hauna haja ya kuuliza. Ila unaweza kwenda kwenye archive ya magazeti yetu karibu yote utakuta habari hiyo pamoja na wahusika.
Hilo ndiyo tatizo jingine ambalo wengi wenu mnalo. Naomba tujikite kwenye issue na baada ya hapo tunaweza kuzungumzia nyingine. Kwenye hili kaka hukuwepo. Hivi unafahamu kuwa maduka yote yalifungwa wakati wa vurugu zile? Hakuna kitu kibaya kamba kujitia upofu wakati tuna macho.Mambo ni mengi?Unazungumzia waliyosema viongozi wa CCM juu ya kuwapiga na kuwauwa wapinzani au unazungumzia kauli za akina Mbowe siku wanaandamana kwenda tume ya uchaguzi?
Wakati bado ninyi mnakusanyakusanya CCM Dar tu imeishakamilisha milioni 30 na Dr. Mashinji aliishatoka zamaaaaaani!Huku mambo yanazidi kunoga yaani masaa 24 tayari zimekusanywa milioni 234.wacha kabisa wacha kabisa wacha kabisa utaumiaView attachment 1384304
No one knows tomorrow.