Mahakama yaamuru nyumba ya mtoto wa Mbowe ipigwe mnada

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
mbowe.png

Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imeamuru kukamatwa na kupigwa mnada nyumba ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, ili kulipa deni la Sh62.7 milioni anazodaiwa na waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo.

Sambamba na amri hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mary Mrio, pia imemteua dalali wa kutekeleza amri hiyo, Jesca Massawe kutoka kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.

Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na waandishi hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ili kutekeleza tuzo yao waliyopewa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), katika shauri la mgogoro wa kikazi walilolifungua dhidi ya mwajiri wao huyo.

Akizungumza na Mwananchi, Paul amesema wakati amri hiyo inatolewa, Dudley ambaye ni mtoto wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema, hakuwepo mahakamani licha ya kwamba alikuwa ameahidi kuwa angefika na fedha za kuwalipa.
 
Mbowe hajafanya poa. Kwenye ruzuku ya 2.7b alishindwa kuchomoa 62m na kulipa waandishi? Huyu ni kiongozi mbinafsi anayejijali peke yake na familia yake. Halafu kumbe Tanzania Daima ni mali yake binafsi na sio CHADEMA? Hakika huyu ni mjasiriamali na nyumbu ni mtaji wake.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imeamuru kukamatwa na kupigwa mnada nyumba ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, ili kulipa deni la Sh62.7 milioni anazodaiwa na waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo.

Sambamba na amri hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mary Mrio, pia imemteua dalali wa kutekeleza amri hiyo, Jesca Massawe kutoka kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.

Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na waandishi hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ili kutekeleza tuzo yao waliyopewa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), katika shauri la mgogoro wa kikazi walilolifungua dhidi ya mwajiri wao huyo.

Akizungumza na Mwananchi, Paul amesema wakati amri hiyo inatolewa, Dudley ambaye ni mtoto wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema, hakuwepo mahakamani licha ya kwamba alikuwa ameahidi kuwa angefika na fedha za kuwalipa.
ugali moto
mchuzi moto
 
Mbowe hajafanya poa. Kwenye ruzuku ya 2.7b alishindwa kuchomoa 62m na kulipa waandishi? Huyu ni kiongozi mbinafsi anyejijali peke yake na familia yake. Halafu kumbe Tanzania Daima ni mali yake binafsi na sio CHADEMA? Hakika huyu ni mjasiriamali na nyumbu ni mtaji wake.

Akifanya hivyo mnakuja kumnanga tena anatumia ruzuku kwa manufaa yake, binadamu hamueleweki
 
Mbowe hajafanya poa. Kwenye ruzuku ya 2.7b alishindwa kuchomoa 62m na kulipa waandishi? Huyu ni kiongozi mbinafsi anyejijali peke yake na familia yake. Halafu kumbe Tanzania Daima ni mali yake binafsi na sio CHADEMA? Hakika huyu ni mjasiriamali na nyumbu ni mtaji wake.
Wanafanya maigizo ili kuonesha kuwa Mbowe haibi ruzuku. Mlalamikiwa hakwendà mahakamani makusudi. Hao wadai watalipwa kimyakimya.
 
Mbowe hajafanya poa. Kwenye ruzuku ya 2.7b alishindwa kuchomoa 62m na kulipa waandishi? Huyu ni kiongozi mbinafsi anyejijali peke yake na familia yake. Halafu kumbe Tanzania Daima ni mali yake binafsi na sio CHADEMA? Hakika huyu ni mjasiriamali na nyumbu ni mtaji wake.
Kuna sehemu imeandikwa anadaiwa Freeman Mbowe?
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imeamuru kukamatwa na kupigwa mnada nyumba ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, ili kulipa deni la Sh62.7 milioni anazodaiwa na waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo.

Sambamba na amri hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mary Mrio, pia imemteua dalali wa kutekeleza amri hiyo, Jesca Massawe kutoka kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.

Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na waandishi hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ili kutekeleza tuzo yao waliyopewa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), katika shauri la mgogoro wa kikazi walilolifungua dhidi ya mwajiri wao huyo.

Akizungumza na Mwananchi, Paul amesema wakati amri hiyo inatolewa, Dudley ambaye ni mtoto wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema, hakuwepo mahakamani licha ya kwamba alikuwa ameahidi kuwa angefika na fedha za kuwalipa.
Dawa ya Deni ni kulipa tu hakuna namna nyingine.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imeamuru kukamatwa na kupigwa mnada nyumba ya mkurugenzi wa gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe iliyoko Mikocheni, ili kulipa deni la Sh62.7 milioni anazodaiwa na waliokuwa waandishi na wahariri wa gazeti hilo.

Sambamba na amri hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mary Mrio, pia imemteua dalali wa kutekeleza amri hiyo, Jesca Massawe kutoka kampuni ya udalali ya MM Auctioneer & Debt Collectors.

Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na waandishi hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ili kutekeleza tuzo yao waliyopewa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), katika shauri la mgogoro wa kikazi walilolifungua dhidi ya mwajiri wao huyo.

Akizungumza na Mwananchi, Paul amesema wakati amri hiyo inatolewa, Dudley ambaye ni mtoto wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema, hakuwepo mahakamani licha ya kwamba alikuwa ameahidi kuwa angefika na fedha za kuwalipa.
Kwahiyo baba mtu amekosa hiyo mil 62 akamlipia mwanae??
 
Back
Top Bottom