kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,517
- 10,369
Hiyo taja weweMbona husemi ujenzi wa KIGOMA INTERNATIONAL AIRPORT.
Hiyo taja weweMbona husemi ujenzi wa KIGOMA INTERNATIONAL AIRPORT.
Mkuu naomba kukuuliza; kati ya hiyo miradi ulitotaja hakuna miradi ambayo ni on going project?? nikiwa na maana ilianzishwa na mtangulizi wake?? na bajeti ilikuwepo mezani? naomba tu kufahamu hilo
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
pia kfanya maandalizi ya kujiongezea miaka 7Magufuli oyeeeeeee
Mbona huhataja uwanja wandege wa chatoNaona umeamua kujitekenya ili ucheke mwenyewe!
HahahahahahahahahahaMagufuli akitumia akili yake kidogo hapa tulipo tunaenda mbal kiuchumi
Muongo wewe huna jipya to a mifanoHakuna kipindi rushwa imekomaa kama wakati huu, tumewazidi hata Kenya kwa rushwa, kaamua kuendesha nchi kama bar yake mambo anajiamulia tu anayoona yeye, ukweli kufeli kuna kiwango huyu kafeli kwa kiwango cha mwisho,
Hiyo ni project ya mwaka 2007. Lowassa alivyokuwa waziri mkuu alikuja Mbeya pia alitembelea kijiji chetu cha Mababu kwenye mhadhara alisema 'ntahakikisha umeme unafika vijiji vingi vya Mbeya, kikiwamo kijiji chenu' na utekelezaji ulianza 2008 mwanzoni.Haya aliyoyafanya na kwa muda aliyoutumia, yule mzee mwenye mvi hata robo asingeweza kuyafanya.
Bombardier used, nyinyi wanafiki ndio mliokuwa mkipiga kelele kwamba nchi yenye watu milioni 50 haina ndege, zinakuja mnaanza kuongea kama walevi wa pombe za kienyeji.
Tatizo lenu la kukaa mbele ya laptop zeni Dar ndio hilo, hamjui wala hamtaki kufungua macho na kuona yanayoendelea nchi nzima. Mkoa wa Mbeya umebakiza vijijini chini ya kumi ambavyo havina umeme.
Mkuu barabara itasaidia mama anaeenda kuifungua afike haraka na salama, pesa zake za ada za watoto wake hatazipeleka tena shuleni ila atanunulia mahitaji mengine kwani ada serikali imefuta na vilevile upatikanaji wa huduma za afya na kwenye mashirika ya umma ni mzuri sasa hivi mwananchi hanyanyaswi tena kwani wafanyakazi wasio na maadiri waliokuwa wanafanya kwa mazoea tu (vyeti) hawapo tena wamebaki wale walio somea fani husika, hakuna kutumbuliwa.Yote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Wewe ulitaka afanyeje labda.rushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
Ushabiki na chuki ni sumu mbaya sana.Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu