Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Iliokolewa kutokana na nini?Wewe unayejua kusoma. unajua jpm alipewa jina tingatinga kwa ajili gani?usimfie mtu mbio bila kuangalia anayemkimbiza. Huwezi taja miundombinu tzania hii bila kumtaja tingatinga. Leo umeanza kumsifia jk wakati ccm iliokolea 2015 kutokana na record ya jpm hasa hiyo ya miondombinu.