1. kukatikatika hovyo kwa umeme
2. Matukio ya mara kwa. Mara ya ujambazi
3. Mgambo kukimbizana kimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo kama wamachinga na mama ntilie
4. Watumishi wa Umma kuonekana kama miungu watu maofisini
5. Kauli za unajua mimi ni nani katika maeneo ya kupatia huduma kama hospitali, kwenye ATM. mashine, Benki n. K
6. Rushwa za waiwazi
7. Ushelewashaji wa huduma wa makusudi katika taasisi za Umma kama TRA, bandari, Ardhi n. k

Kwa umakini wa serikali hii ya awamu ya tano, hapana shaka hata zile huduma zilizotumiwa na wote ambao walitaka kurudisha nyuma jitihada za rais John Pombe Magufuli zinaelekea kuimarika. Huduma kama bei ya vyakula mfano sembe maeneo mengi kilo moja inanunuliwa kwa sh. 1000/ =. Mfumuko wa bei nao umepungua sana

Ni umakini huu wa serikali umepelekea wanasiasa wa mrengo wa kushoto nchini kukosa hoja za kitaifa na kukimbilia kufanya siasa za nje yaani kuwaunga mkono wahudumu ujumu wa nchi yetu na kuziona srikali za nchi jirani kuwa ni bora kuliko serikali yetu. Narudia huku ni kuingiwa hofu ya kukosa agenda za kitaifa za kwenda nazo kwa wqnanchi.
Mytake: Wapinzani wachunge sana, 2020 wanaweza kukimbiana wenyewe kwa wenyewe
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Ewe Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema endelea kutuepusha na jinamizi la Lowasa na genge lake.
 
Tumekuwa tukitangaziwa kuwa mapato yatokanayo na kodi zetu yameongezeka, tangu serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani mapato ya kila mwezi yameongezeka toka bilioni 800 hadi wastani wa trilioni 1.2 kwa mwezi hili ni ongezeko kubwa sana ambalo lingeleta mabadiliko kwa watanzania.

Lakini sasa pamoja na ongezeko hilo hakuna chochote cha maana kinachofanyika, hakuna miradi mipya ya maendeleo, hospitalini hakuna madawa, mikopo kwa wanafunzi imepungua, ajira mpya hakuna, huko maofisini watu wanalalamika hakuna pesa za kuendeshea ofisi, mishahara ya wafanyakazi imepunguzwa baadala ya kuongezwa, lakini pia hata bajeti ya serikali imetekelezwa kwa asilimia 30 tu, sasa hivi hizi kodi zetu zinafanya kazi gani? Hizi pesa zinapelekwa wapi mbona hatuzioni zikirudi mtaani kufanya maendeleo.
 
Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
On going projects? How much was budgeted for the project and how much was delivered for the complation of the total projects......FYI it's only seen going if the man took over agrees to go on with it!!
Project ya wizi kwene makenikia alikuta pia lakini it is not going anymore "understand" and "love"your country
 
Huduma za kiwango takribani wizara zote lakini Zaidi Afya,mahakama,Mali asili na utalii.
Mafanikio kwene natural resources policing "ulinzi madhubuti wa rasilimali zetu hasa Madini yetu na higadhi zetu za taifa kuwa na wafanyakazi pro-active kwene ulinzi WA wanyama wetu muhimu na waliokuwa karibu kutoweka kama Tembo,Faru nk.
From me to date and aluta continua Mh.Magufuli
 
Ni vuzur sana maana ayo unayoo yasema ni mawazo yk na tunayaheshimu.Ebu tukuombe sasa utuambie kakosea wapi maana yeye si malaika kwamba atafanya memaa na mazur tuuu....tafaadhal tuambie na mabaya yake sasa ili tujue
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga[/QUOTE]
 
Kwa tathimini ya kawaida tu...hii miaka mitano tusitegemee jipya...sbb Magu kaweka nguvu kaweka nguvu kubwa kwenye kesi za madini na kukandamiza upinzani...

Magu ni vizuri kutambua kuwa mambo mengine piya yanaitaji nguvu zake.... mfano..
1.Bei ya sukari inapanda kila kukicha mpaka zile familia nyengine zimeshindwa kunywa chai...
2.Bei ya vyakula iko juu...
3.majanga yanayowapata watu kutokana na upepo au mvua waanga wanakosa misaada.
4.sekta ya kilimo imekuwa marehemu..ma bwana shamba njaa zimewapiga mpaka wanakimbia kazi....
5.Deni la taifa linazidi kupanda juu.
6.Mikopo bank hailipiki kila siku nyumba zinapigwa minada..
7.bomoa bomoa ndiyo habari ya mjini...na hakuna majadiliano au fidia.
8.utawala wa kufata sheria ni ndoto...nyumba zinawekwa stop order na mahakama kesho bomoa bomoa ..kisa maagizo kutoka juu...

Jamani tunakwenda wapi????
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
 
Kwakweli kwa upande wangu bado nakubaliana na juhudi za mheshimiwa Rais,kwa kiasi kikubwa amefanya kazi kweli.
Mtazamo kwa sasa katika utendeji wake japo si kila mtu atamuunga mkono,akae na washauri wa uchumi jinsi gani ya kufanya mzunguko wa uchumi kuwepo kwa mwananchi huyo wa kawaida, wapo ambao walianza kumsifia tangu mwanzo lakini Leo hii wanalaani juhudi zake baada ya baadhi yao kuona biashara haziendi kabisa na hata wengine kufunga ofisi zao,wapiga kura ni hawa hawa wanaofunga biashara zao mdogo ndogo kwahivyo mtazamo wangu bila unafiki wowote ni kweli anaipiga lakini atafute njia la kulejesha imani za wengi walioamini kazi zake tangu mwanzo,Mimi bado namwamini sana ila mtazamo wangu ni huo tu.

Geofrey Julius
Africa's youth first network
www.africasyouthfirstnetwork.org
 
Kwakweli kwa upande wangu bado nakubaliana na juhudi za mheshimiwa Rais,kwa kiasi kikubwa amefanya kazi kweli.
Mtazamo kwa sasa katika utendeji wake japo si kila mtu atamuunga mkono,akae na washauri wa uchumi jinsi gani ya kufanya mzunguko wa uchumi kuwepo kwa mwananchi huyo wa kawaida, wapo ambao walianza kumsifia tangu mwanzo lakini Leo hii wanalaani juhudi zake baada ya baadhi yao kuona biashara haziendi kabisa na hata wengine kufunga ofisi zao,wapiga kura ni hawa hawa wanaofunga biashara zao mdogo ndogo kwahivyo mtazamo wangu bila unafiki wowote ni kweli anaipiga lakini atafute njia la kulejesha imani za wengi walioamini kazi zake tangu mwanzo,Mimi bado namwamini sana ila mtazamo wangu ni huo tu.

Geofrey Julius
Africa's youth first network
www.africasyouthfirstnetwork.org

 
Endelea kumjaza Sifa tuu huyoo mungu wenu vimeo kila kukicha vinaibuka tuu

Magufuli another fiascos!

construction Co. Seeks OK Of $ 60M Award Against Tanzania By Caroline Simson Law360, New York (September 27, 2017, 7 PM EDT) - A Japanese construction company asked a D.C. federal court on Tuesday to sign up to more than $ 60 million arbitrarily awarded against several Tanzanian government agencies following a stymied road improvement project. Konoike Construction Co. Ltd. won the February 2016 award after the London court concluded that the Tanzanian National Roads Agency, the Ministry of Works and other Tanzanian government agencies had improperly called on another contractor to finish the project on a 79-mile stretch of road in the African nation's interior after Konoike ...
 
Back
Top Bottom