Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 827
- 296
amekalia kujisifu tu na watanzania walivo weupe kichwani eti wanamuaminiMTU msomi anakomalia issue ndogo ya vitoto vilivyobeba ujauzito
MTU mwenye PhD speech yake anasema
hawafurukuti! hawaniwezi! watakoma! hawanitishi! wasinidrive! hatuna kiongozi aisee!!