secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Wtz wengi wanataka mtu mahiri wa kuongea...
kuliko wachapakazi....
kuliko wachapakazi....
Hivi unadhani kuna siasa Safi pamoja na damu nyingi zilizo mwagiga bila maelezo?Inafika mahali unashindwa kuelewa watanzania wanataka nini hasa?
Kama ni maendeleo yanaonekana kwa macho, tena hayana vyama pande zote za nchi watu wameneemeka.
Huduma za kijamii ikiwemo afya na elimu imeboreshwa mara dufu, miundombinu ndio usiseme.
Treni ya Moshi - Arusha imerejea, ndege kadhalika meli na vivuko vimehuishwa.
Ninapotafakari watu hawa wanataka wafanyiwe nini nakumbuka maneno ya baba wa taifa mwalimu Nyerere kwamba ili nchi iendelee inahitaji Ardhi, Watu, Siasa safi na Uongozi bora.
Watanzania tunafeli wapi hadi kukumbatia siasa za kishabiki?
Au kuna watu wameamuwa kuwa na fikra za kipinzani tu? Maana hata shetani hapingi kila jema liletwalo na Mungu.
Niishie hapo.
Tatizo la CCM ni uongo. Sasa watu wameshauchoka kuona na kuusikia.Inafika mahali unashindwa kuelewa watanzania wanataka nini hasa?
Kama ni maendeleo yanaonekana kwa macho, tena hayana vyama pande zote za nchi watu wameneemeka.
Huduma za kijamii ikiwemo afya na elimu imeboreshwa mara dufu, miundombinu ndio usiseme.
Treni ya Moshi - Arusha imerejea, ndege kadhalika meli na vivuko vimehuishwa.
Ninapotafakari watu hawa wanataka wafanyiwe nini nakumbuka maneno ya baba wa taifa mwalimu Nyerere kwamba ili nchi iendelee inahitaji Ardhi, Watu, Siasa safi na Uongozi bora.
Watanzania tunafeli wapi hadi kukumbatia siasa za kishabiki?
Au kuna watu wameamuwa kuwa na fikra za kipinzani tu? Maana hata shetani hapingi kila jema liletwalo na Mungu.
Niishie hapo.
Nasikia siku hizi umehamia kigamboni?
Wanadamu tunasema unaweza kutenda mema 9999 lakini ukikosea moja linafuta mema 9999 yote!!Hapo vip!
Binafsi kila nikimuona Rais Magufuli naiyona Tanzania mpya.
Muheshimu Rais Mungu akutie Nguvu na akuongezee Miaka mingi ya kuishi hapa Duniani.
Nakutamkia hivyo kwa niaba ya watanzania wote kwasababu umeiyondolea Tanzania aibu. Sasa hivi Mtanzania anaweza kutembea East Africa. Africa na Duniani kote,akaheshimika.
Nirudi kwenye mada husika,kwanza binafsi nikupongeze kwa mambo makubwa uliyoyafanya katika Nchi hii.
Ni wazi haya mambo uliyoyafanya yanaonekana ndani ya nchi na nje ya nchi pia.
Binafsi naomba nitaje mambo machache uliyoyafanya na nina imani watanzania wenzangu wanzalendo watataja mengine.
1.Ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme unayoendea katika nchi yetu..mradi utawezesha nchi yetu iweze hata kuuza umeme Afrika nzima
2.kuondoa tatizo la wafanyakzi hewa waliokuwa wanaingizia nchi hasara ya mabilioni ya fedha.
3.kufufua shirika la ndege hivyo inasaidia fasten uchumi wa nchi..na niwazi watu sasa wanapanda ndege kwa bei nafuu hata wapinzani pia...kipato kinachopatikana kwenye sector ya usafiri wa anga ndio inayotumika kuleta elimu bure n.k
4.umerudisha heshima kazini,sasa hamna biashara unanijua mimi no..watu wote ni sawa.
5.Umeondoa giza Tanzania...nikimaanisha mgao wa umeme umekuwa historia.
6.umeleta elimu bure ..watoto wa maskini sasa wanasoma shule
7.umeondo mikatamibovu katika sector ya madine,umezuia makinikia na kujenga ukuta mererani...leo Tanzania ndio nchi ya kwanza Duniani kwa kuuza Tanzanite Duniani..kabla haujaingia madarakani Tanzania ilikuwa nchi ya saba.
8.Umejenga Treni ya Umeme kutoka dar kwenda Dodoma.
9.Umefufua Reli ya kati
10.Umepandisha Uchumi wa nchi mpaka benki ya Dunia imetanganza Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ..sio mchezo.
11.Umenunua Melikubwa na ya kisasa ya kutoka mwanza mpaka bukoba.
12.Umejenga barabara za fly over
13.Umejenga Daraja la kigamboni linalopita baharini.
14.umepambana na Korona kwa imani ya juu na hatimaye umeishinda.
15.umejenga hospitali nyingi sana
16.umejenga Mradi mkubwa wa maji Arusha.
17.umejenga bara imara na za kisasa
Naomba nitaje hizo chache ili niwape pia watanzania wenzangu fursa ya kuzitaja zingine..
Anayesema huyu baba hajaifanyia kitu nchi hii alaaniwe na watanzania.
Hatakiwi kabisa huyu JohnWatu wa Dar msipo mchagua.
Hatakiwi kabisa huyu John
Ndo ushangae Sasa. Walio kwenye barabara za vumbi, hakuna hata flyover na mwendo kasi eti ndiyo wanamshobokea.Mnapita kwenye lami kisha mnasema hafai