MNAPOMWANDAMA mh.MPINA msimsahau na MAKONDA Viwanja vya Wahindi vya AlivyojimilikishaSerikali ndio mtetezi wa wanyonge dhidi ya matapeli papa wanaodhulumu wanakijiji ardhi yao, hawa ndio wanazua migogoro mikubwa sana kati ya wananchi, na kati ya serikali na wananchi. Nashauri wizara ya ardhi iunde timu ikachunguze na Kisha ichukue hatua ya kurudisha ardhi hiyo kwa wanakijiji.
Huyu mtu kachukua ardhi yote, wanakijiji hawana akiba ya ardhi kwa matumizi ya baadae. Pia takukuru wachunguze, Kuna viashiria vya rushwa
View attachment 2180552View attachment 2180553View attachment 2180556
Subiri aje awalipue bungeniHii ni sheria, serikali ya Kijiji haiwezi kugawa ardhi yenye ukubwa wa ekari zaidi ya 50! Wizara ya ardhi, Mpina anasema kapewa ekari 1000 na Kijiji, japo Kijiji wanakataa kumpa ardhi ya ukubwa huo!
Sheria zisimamiwe, huyu amevunja sheria, anyanganywe hiyo ardhi iliyozidi ekari 50, arejeshe ekari 950!
Wizara ya ardhi iingilie kati kuokoa ardhi ya Kijiji!
Aoneshe muhtasari wa kikao na majina ya wajumbe waliopitisha huo umilikiHii ni sheria, serikali ya Kijiji haiwezi kugawa ardhi yenye ukubwa wa ekari zaidi ya 50! Wizara ya ardhi, Mpina anasema kapewa ekari 1000 na Kijiji, japo Kijiji wanakataa kumpa ardhi ya ukubwa huo!
Sheria zisimamiwe, huyu amevunja sheria, anyanganywe hiyo ardhi iliyozidi ekari 50, arejeshe ekari 950!
Wizara ya ardhi iingilie kati kuokoa ardhi ya Kijiji!
Leta hiyo Sheria hapa tuisome wote.Hii ni sheria, serikali ya Kijiji haiwezi kugawa ardhi yenye ukubwa wa ekari zaidi ya 50! Wizara ya ardhi, Mpina anasema kapewa ekari 1000 na Kijiji, japo Kijiji wanakataa kumpa ardhi ya ukubwa huo!
Sheria zisimamiwe, huyu amevunja sheria, anyanganywe hiyo ardhi iliyozidi ekari 50, arejeshe ekari 950!
Wizara ya ardhi iingilie kati kuokoa ardhi ya Kijiji!
Huyu atajua hajui tu. Wanakijiji juzi wamekaa kikao na kutoa maazimio maalum kumuomba Rais awarudishie ardhi yao.Hii ni sheria, serikali ya Kijiji haiwezi kugawa ardhi yenye ukubwa wa ekari zaidi ya 50! Wizara ya ardhi, Mpina anasema kapewa ekari 1000 na Kijiji, japo Kijiji wanakataa kumpa ardhi ya ukubwa huo!
Sheria zisimamiwe, huyu amevunja sheria, anyanganywe hiyo ardhi iliyozidi ekari 50, arejeshe ekari 950!
Wizara ya ardhi iingilie kati kuokoa ardhi ya Kijiji!
Duh...!. Sasa ndio mnaanza kufurumua ya Mpina kwasababu tuu amemsema JM?. Siku zote mlikuwa wapi?!.Hii ni sheria, serikali ya Kijiji haiwezi kugawa ardhi yenye ukubwa wa ekari zaidi ya 50! Wizara ya ardhi, Mpina anasema kapewa ekari 1000 na Kijiji, japo Kijiji wanakataa kumpa ardhi ya ukubwa huo!
Sheria zisimamiwe, huyu amevunja sheria, anyanganywe hiyo ardhi iliyozidi ekari 50, arejeshe ekari 950!
Wizara ya ardhi iingilie kati kuokoa ardhi ya Kijiji!
Tulisha jua kwamba sasa mpina anaanza kutafutwa na chawa wa watu fulaniHii ni sheria, serikali ya Kijiji haiwezi kugawa ardhi yenye ukubwa wa ekari zaidi ya 50! Wizara ya ardhi, Mpina anasema kapewa ekari 1000 na Kijiji, japo Kijiji wanakataa kumpa ardhi ya ukubwa huo!
Sheria zisimamiwe, huyu amevunja sheria, anyanganywe hiyo ardhi iliyozidi ekari 50, arejeshe ekari 950!
Wizara ya ardhi iingilie kati kuokoa ardhi ya Kijiji!
Tunaposema CCM hakuna msafi, tunamaanisha Bwashee! Hata wewe tuletee tu usumbufu, halafu uone tutakavyo fukua makaburi yako ya tangu enzi unasoma shule ya msingi.Duh...!. Sasa ndio mnaanza kufurumua ya Mpina kwasababu tuu amemsema JM?. Siku zote mlikuwa wapi?!.
P
Anatafutwa kwa lipi sasa? Kama amepora ardhi na mashamba ya wananchi, aachwe! Kwa sababu anabwatukia watu Bungeni?Tulisha jua kwamba sasa mpina anaanza kutafutwa na chawa wa watu fulani
Hilo eneo kaanza kulimili mara tu baada ya kusema madhaifu ya wizara ya makamba ?Anatafutwa kwa lipi sasa? Kama amepora ardhi na mashamba ya wananchi, aachwe! Kwa sababu anabwatukia watu Bungeni?
Mwache ajitetee mwenyewe. Na kama ni kweli anaimiliki hilo eneo kihalali, ajitokeze hadharani na vielelezo.