Utapeli wa ardhi uliofanywa Luaga Mpina Mkoani Morogoro

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Mar 1, 2019
295
679
Zaidi ya wakazi elfu 40 wa Vijiji viwili vya Dalla na Bwade vilivyopo wilayani Morogoro mkoani Morogoro wameiomba serikali kuingilia kati kurejesha ardhi yao yenye ukubwa wa ekari zaidi 1000 iliyochukuliwa kwa njia ya utapeli na aliyekuwa waziri wa Mifugo LUAGA MPINA tangu mwaka 2009.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wilayani humo wakazi hao wamesema ardhi hiyo iliyochukuliwa kwa awamu tofauti na kiongozi huyo katika kipindi cha kuanzia mwaka 2009 hadi mwaka 2017 bado haijaendelezwa huku asilimia kubwa ya wananchi wakikosa ardhi ya kilimo.

Aidha wananchi hao wamesema licha ya kupaza sauti zao ngazi mbalimbali za uongozi lakini hadi sasa bado ardhi yao imeendelea kushikiliwa na hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa na kuomba Rais Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati ili kurejeshewa ardhi yao waendeleze kilimo.

Baadhi ya Viongozi akiwemo mwenyekiti wa Kijiji cha Mbwade SALUM MALOZO amesema baada ya kiongozi huyo LUAGA MPINA kuchukua ardhi ya Kijiji Jirani sasa ameinga tena katika Kijiji chao na kuchukua zaidi ya ekari 80 nazo bila kufuata utaratibu huku kukiwa hakuna taarifa zozote zilizo mruhusu kumiliki ardhi hiyo .

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Dalla kilichochukuliwa zaidi ya ekari 1000 MOHAMED KILIMASINDE amemfananisha kiomgozi huyo sawa na mtu mbinafsi asiye na huruma kwa wananchi wa hali ya chini.
 
Zaidi ya wakazi elfu 40 wa Vijiji viwili vya Dalla na Bwade vilivyopo wilayani Morogoro mkoani Morogoro wameiomba serikali kuingilia kati kurejesha ardhi yao yenye ukubwa wa ekari zaidi 1000 iliyochukuliwa kwa njia ya utapeli na aliyekuwa waziri wa Mifugo LUAGA MPINA tangu mwaka 2009.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wilayani humo wakazi hao wamesema ardhi hiyo iliyochukuliwa kwa awamu tofauti na kiongozi huyo katika kipindi cha kuanzia mwaka 2009 hadi mwaka 2017 bado haijaendelezwa huku asilimia kubwa ya wananchi wakikosa ardhi ya kilimo.

Aidha wananchi hao wamesema licha ya kupaza sauti zao ngazi mbalimbali za uongozi lakini hadi sasa bado ardhi yao imeendelea kushikiliwa na hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa na kuomba Rais Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati ili kurejeshewa ardhi yao waendeleze kilimo.

Baadhi ya Viongozi akiwemo mwenyekiti wa Kijiji cha Mbwade SALUM MALOZO amesema baada ya kiongozi huyo LUAGA MPINA kuchukua ardhi ya Kijiji Jirani sasa ameinga tena katika Kijiji chao na kuchukua zaidi ya ekari 80 nazo bila kufuata utaratibu huku kukiwa hakuna taarifa zozote zilizo mruhusu kumiliki ardhi hiyo .

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Dalla kilichochukuliwa zaidi ya ekari 1000 MOHAMED KILIMASINDE amemfananisha kiomgozi huyo sawa na mtu mbinafsi asiye na huruma kwa wananchi wa hali ya chini.
Ujinga mtupu, Kwa hiyo anajichukulia tu atakavyo?.

Ati Bila utaratibu ?.

Embu toa takataka ZAKO hapa, Kutaka kumchafua MPINA, Kwa jambo ambalo hata uwe kilaza na mjinga bado utaelewa ya kwamba, Mpina hawez chukua Ardhi ya mtu Bila utaratibu
 
Zaidi ya wakazi elfu 40 wa Vijiji viwili vya Dalla na Bwade vilivyopo wilayani Morogoro mkoani Morogoro wameiomba serikali kuingilia kati kurejesha ardhi yao yenye ukubwa wa ekari zaidi 1000 iliyochukuliwa kwa njia ya utapeli na aliyekuwa waziri wa Mifugo LUAGA MPINA tangu mwaka 2009.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wilayani humo wakazi hao wamesema ardhi hiyo iliyochukuliwa kwa awamu tofauti na kiongozi huyo katika kipindi cha kuanzia mwaka 2009 hadi mwaka 2017 bado haijaendelezwa huku asilimia kubwa ya wananchi wakikosa ardhi ya kilimo.

Aidha wananchi hao wamesema licha ya kupaza sauti zao ngazi mbalimbali za uongozi lakini hadi sasa bado ardhi yao imeendelea kushikiliwa na hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa na kuomba Rais Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati ili kurejeshewa ardhi yao waendeleze kilimo.

Baadhi ya Viongozi akiwemo mwenyekiti wa Kijiji cha Mbwade SALUM MALOZO amesema baada ya kiongozi huyo LUAGA MPINA kuchukua ardhi ya Kijiji Jirani sasa ameinga tena katika Kijiji chao na kuchukua zaidi ya ekari 80 nazo bila kufuata utaratibu huku kukiwa hakuna taarifa zozote zilizo mruhusu kumiliki ardhi hiyo .

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Dalla kilichochukuliwa zaidi ya ekari 1000 MOHAMED KILIMASINDE amemfananisha kiomgozi huyo sawa na mtu mbinafsi asiye na huruma kwa wananchi wa hali ya chini.
Bila kufuata taratibu zipi?

Ekari 1000 ni za kulislia vijijini?

Hakuna maeneo mengine yaani?

Wakat anachujua yalikuwa na mashamba au nyumba?

Watz wanapenda kutumika maniiiner zao
 
Wanakijiji Wana fitna sana, wanakuuzia aridhi kumbe mioyo inawauma, baada ya muda mfupi wanadai "mwekezaji katutapeli ardhi yetu" ndio maana migogoro ya ardhi haiishi kwa ajili ya tabia hizi za kichawi, wengine wanamuua kabisa waliyemuuzia ardhi ili waizulumu familia yake, Kama walivyomuua yule hakimu wa Tanga kule Kyela
 
Morogoro mbona kuna waziri mwingine kachukua nadhani inalingana na vijiji vitano. Nilipita kipindi fulani sikuamini .hii serikali ya ccm inao walafi ni.hatari.
 
Bado natafuta confirmation maana kijana huyo kwenye huo huo ukoo kuna kipindi aliingia tamaa ya kutwaa maeneo ya wananchi kiujanja ujanja kwa kuwabomolea nyumba wananchi mpaka mama mmoja alipofariki kwa pressure juu ya zoezi hilo na wananchi bila kujali wakatoka mwenye jembe haya, mwenye mundu twende ilimradi kila mmoja alikamata siraha ilokuwa karibu na ikapelekea hawa majambazi kusitisha zoezi japo mama mmoja alishaiaga dunia, basi jamaa huyo ukifika huko alikojitwalia utaamini kuwa labda wengine hawafi.
 
Zaidi ya wakazi elfu 40 wa Vijiji viwili vya Dalla na Bwade vilivyopo wilayani Morogoro mkoani Morogoro wameiomba serikali kuingilia kati kurejesha ardhi yao yenye ukubwa wa ekari zaidi 1000 iliyochukuliwa kwa njia ya utapeli na aliyekuwa waziri wa Mifugo LUAGA MPINA tangu mwaka 2009.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wilayani humo wakazi hao wamesema ardhi hiyo iliyochukuliwa kwa awamu tofauti na kiongozi huyo katika kipindi cha kuanzia mwaka 2009 hadi mwaka 2017 bado haijaendelezwa huku asilimia kubwa ya wananchi wakikosa ardhi ya kilimo.

Aidha wananchi hao wamesema licha ya kupaza sauti zao ngazi mbalimbali za uongozi lakini hadi sasa bado ardhi yao imeendelea kushikiliwa na hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa na kuomba Rais Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati ili kurejeshewa ardhi yao waendeleze kilimo.

Baadhi ya Viongozi akiwemo mwenyekiti wa Kijiji cha Mbwade SALUM MALOZO amesema baada ya kiongozi huyo LUAGA MPINA kuchukua ardhi ya Kijiji Jirani sasa ameinga tena katika Kijiji chao na kuchukua zaidi ya ekari 80 nazo bila kufuata utaratibu huku kukiwa hakuna taarifa zozote zilizo mruhusu kumiliki ardhi hiyo .

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Dalla kilichochukuliwa zaidi ya ekari 1000 MOHAMED KILIMASINDE amemfananisha kiomgozi huyo sawa na mtu mbinafsi asiye na huruma kwa wananchi wa hali ya chini.
Nani asiye jua kuwa huo ni mpango wa kina makamba? Kwani hao watu ndio wamejua leo kuwa wamenyang'anywa ardhi? Walikuwa wapi tangu mwanzo
 
Zaidi ya wakazi elfu 40 wa Vijiji viwili vya Dalla na Bwade vilivyopo wilayani Morogoro mkoani Morogoro wameiomba serikali kuingilia kati kurejesha ardhi yao yenye ukubwa wa ekari zaidi 1000 iliyochukuliwa kwa njia ya utapeli na aliyekuwa waziri wa Mifugo LUAGA MPINA tangu mwaka 2009.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wilayani humo wakazi hao wamesema ardhi hiyo iliyochukuliwa kwa awamu tofauti na kiongozi huyo katika kipindi cha kuanzia mwaka 2009 hadi mwaka 2017 bado haijaendelezwa huku asilimia kubwa ya wananchi wakikosa ardhi ya kilimo.

Aidha wananchi hao wamesema licha ya kupaza sauti zao ngazi mbalimbali za uongozi lakini hadi sasa bado ardhi yao imeendelea kushikiliwa na hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa na kuomba Rais Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati ili kurejeshewa ardhi yao waendeleze kilimo.

Baadhi ya Viongozi akiwemo mwenyekiti wa Kijiji cha Mbwade SALUM MALOZO amesema baada ya kiongozi huyo LUAGA MPINA kuchukua ardhi ya Kijiji Jirani sasa ameinga tena katika Kijiji chao na kuchukua zaidi ya ekari 80 nazo bila kufuata utaratibu huku kukiwa hakuna taarifa zozote zilizo mruhusu kumiliki ardhi hiyo .

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Dalla kilichochukuliwa zaidi ya ekari 1000 MOHAMED KILIMASINDE amemfananisha kiomgozi huyo sawa na mtu mbinafsi asiye na huruma kwa wananchi wa hali ya chini.
Tukio hili la kusikitisha linaonyesha wazi kwamba wanaoitwa viongozi sio viongozi,bali waporaji ambao wanatumia ngazi ya uongozi kujipatia mali haramu kwa kutumia migongo ya wananchi maskini.Ni wakati muafaka sasa wananchi kuamka na kuwaona wanaoitwa viongozi katika rangi yao halisi:wanyang'anyi.
 
Ujinga mtupu, Kwa hiyo anajichukulia tu atakavyo?.

Ati Bila utaratibu ?.

Embu toa takataka ZAKO hapa, Kutaka kumchafua MPINA, Kwa jambo ambalo hata uwe kilaza na mjinga bado utaelewa ya kwamba, Mpina hawez chukua Ardhi ya mtu Bila utaratibu

Huyo Mpina ni mmoja kati ya watu waliofaidika na dhuluma kipindi cha dhalimu, hivyo hata sasa akifanyiziwa tunaona ni poa tu. Kama aliona ni sahihi wengine kufanyiwa ukatili, acha naye wezi wenzake wamfanyizie kwetu ni poa.
 
Back
Top Bottom