wizara ya ardhi

  1. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yasema Wananchi wa Gezaulole (Bagamoyo) waliovunjiwa makazi yao walishindwa kesi Mahakamani

    Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia vyombo mbalimbali vya Habari imepokea taarifa kuhusu uvunjwaji wa maendeleo ya wananchi takribani 110 wa Kijiji cha Gezaulole Kata ya Makurunge Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani. Taarifa zinaonesha zoezi hilo limetekelezwa na kampuni ya Nolic...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Responded Waziri wa Ardhi: Tunakamilisha taratibu kuanzisha Mamlaka ya kudhibiti madalali wa Viwanja na Nyumba (Real Estate)

    "Ninawasihi Watanzania wote, kabla ya kufanya uamuzi wa kununua ardhi, hakikisheni mnafika katika ofisi za ardhi kwa ajili ya kuhakiki uhalali wa eneo husika'. Serikali imejipanga kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na salama za ardhi, hivyo ni muhimu kufuata taratibu zilizowekwa ili...
  3. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya ardhi yatoa hati zaidi ya 470; waziri Dkt. Akwilapo, ahimiza ufanisi, haki na weledi katika utoaji wa huduma

    Zaidi ya wananchi 470 wamepatiwa Hatimiliki katika banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo, Julai 5, 2026...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DAR: Wizara ya Ardhi yatoa Hati zaidi ya 470, Waziri Dkt Akwilapo ahimiza ufanisi, Haki na weledi katika utoaji wa huduma

    Zaidi ya wananchi 470 wamepatiwa Hatimiliki katika banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo, Julai 5, 2026...
  5. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Serikali yawahimiza Wanawake kumiliki Ardhi

    Serikali imewahimiza wanawake kujitokeza kumiliki ardhi na kutumia fursa zilizowekwa kwa kupitia Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka 1995, Toleo la Mwaka 2023 ili kuendelea kunufaika na fursa zinazopatikana kupitia sekta ya Ardhi nchini. Sera hiyo ambayo ilizinduliwa mwezi Machi 17, 2025 na Dkt...
  6. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yaalika wananchi kufika wiki ya utumishi kupata huduma za ardhi

    Watumishi wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wanaendelea kutoa huduma za sekta ya Ardhi katika banda la wizara hiyo katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma. Katika kufikisha ujumbe kwa jamii, wasanii kutoka...
  7. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yatwaa Makombe CRDB Bank Grand Bonanza 2026

    Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Ardhi Sports Club, leo Juni 20, 2026, imeendelea kung'ara katika CRDB Bank Bunge Grand Bonanza 2026 kwa kutwaa makombe mawili katika michezo ya kuvuta kamba na karata, ikionesha umahiri, mshikamano na ushindani wa hali ya juu. Bonanza hilo...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yaomba Bilioni 210 Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Douglas Akwilapo, leo Mei 28, 2026, amewasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027, huku akiomba kuidhinishwa jumla ya Shilingi bilioni 210,259,515,000 Mchanganuo wa Bajeti Matumizi...
  9. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Mbezi Beach pamepangiliwa vizuri. Wizara ya Ardhi kwanini hamuwezi kusimamia maeneo mengine yakapangika hivi?

    Naangalia aerial view ya Mbezi Beach naona pamepangiliwa vizuri Kilichobaki ni Kuweka barabara za lami mitaani kote Kuweka taa za barabarani Kuweka closed drainage system Kila mtaa Tanzania ungepangika hivi ingependeza sana Aerial view:
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi: Takribani malalamiko ya Viwanja ya Wananchi yamepatiwa ufumbuzi Dodoma

    Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyapatia ufumbuzi malalamiko ya muda mrefu ya viwanja mbadala kwa wananchi wa jiji la Dodoma. Suluhisho hilo linafuatia malalamiko ya takriban wananchi 4000 wa jiji la Dodoma wanaodai viwanja na halmashauri ya jiji la Dodoma...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yakanusha malalamiko ya Taasisi ya Al-Malid kuhusu umiliki wa kiwanja Nzuguni, Dodoma

    Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekanusha malalamiko ya Taasisi ya Al-Malid kuhusiana na umiliki wa kiwanja Na 8 Kitalu A kilichopo Nzuguni jijini Dodoma. Akizungumza jijini Dodoma leo tarehe 23 Februari 2026, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Leonard Akwilapo...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi: Tunashirikia na TAMISEMI kuchunguza mgogoro wa ardhi Katoro, tutatoa taarifa rasmi

    Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibwa, aliyedaiwa kubomoa baadhi ya majengo yaliyokuwa kwenye maeneo ya serikali na kuanzisha miradi bila utaratibu katika eneo la Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katoro, Geita...
  13. Pakome

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi, ikiwa Wizi na Utapeli huu umefanyika kwa kutumia Hati halali ya Wizara ya Ardhi, Je ni Mwananchi yupi atakayewaamini?

    Wizara ya Ardhi, ikiwa wizi na utapeli wa Viwanja na Nyumba kwa kutumia Hati halalali ya Wizara ya Ardhi Tanzania unafanikiwa, je ni Mwananchi yupi atakayewaamini? Tafsiri yake ni kuwa Hati yenu imenyewa Imekuwaje mkakubali kutoa Hati batili? Je Wizara mnapotenda makosa haya mnatengeneza...
  14. Vien

    JamiiForums Tanzania Wizara ya ardhi hili mkalitazame limekua kero kwa muda mrefu sana

    Habari wakuu wote nawasalimu Kumekua na changamoto kwenye swala upatikanaji wa hati miliki kutoka wizarani, Kwa utaratibu uliopo ni hivi Mtu anapotaka kumilikishwa ardhi inabidi awe na 1) Mkataba wa mauziano + Mkataba wa asili Hii mfano kama umenunua kiwanja kutoka kwa kampuni ama mtu...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Wizara ya ardhi ili kupunguza migigoro ya ardhi

    Kumekuwepo na migogoro ya ardhi ambayo inatokana na wananchi kununua maeneo ambayo yameuzwa kwa watu wengine, kuuziwa maeneo yaliyotengwa kwa shughuli maalum (open spaces). Hali hii inatokana na ugumu wa wananchi kupata taarifa sahihi za umiliki wa maeneo hayo kupitia ofisi za ardhi, ambapo...
  16. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wananchi waridhishwa na huduma za wizara ya ardhi sabasaba

    Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) wameonesha kuridhishwa na huduma zinazotolewa na wizara hiyo. Wakizungumza katika banda la Wizara ya Ardhi tarehe 4 Julai 2025 katika maonesho hayo...
  17. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya ardhi yatoa huduma maonesho ya sabasaba

    Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi inaendelea kutoa huduma katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yanayoendelea viwanja vya Mwl Nyerere jijini Dar es Salaam. Katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya "Fahari ya Tanzania" Wizara ya Ardhi natoa baadhi ya...
  18. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wadau sekta ya milki watakiwa kuwa na umoja

    WADAU SEKTA YA MILKI WATAKIWA KUWA NA UMOJA MWANZA Wadau wa sekta ya milki nchini wametakiwa kuendelea kuwa na umoja ili kuhakikisha sekta ya milki inakuwa. Hayo yameelezwa tarehe 17 Juni 2025 na Mkurugenzi wa Kitengo cha Milki Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Upendo...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Nauliza: Kwanini Jerry Silaa aliondolewa Wizara ya Ardhi? Alionekana kufanya kazi kwa weledi kupunguza migogoro ya ardhi. Let us speculate reasonably!

    Nilimuona kama alikuwa anaitendea haki wizara ya ardhi, alifanya kazi kwa weledi mkubwa kupambana na makanjanja wa ardhi akina Msama, Mushi na wengine. All of a sudden akaondolewa! What was wrong with him? Can any of us speculate logically? https://www.instagram.com/mangi_viwanja/reel/C73xMi-M6AJ/
  20. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Kikosi kazi cha wizara ya ardhi chafunga mafunzo ya usajili wa miamala ya upili ya itokanayo na hakimiliki za kimila maswa

    Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekamilisha rasmi mafunzo ya Usajili wa Miamala ya Hakimiliki za Kimila kwa Watendaji wa Vijiji pamoja na Wenyeviti wa Vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu. Mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo...
Back
Top Bottom