chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,009
- 20,684
Kwa mujibu wa sheria ya ardhi ya Kijiji, (The Village Land Act, Cap 114) na kanuni zake, serikali ya Kijiji hairuhusiwi kugawa ardhi ambayo inazidi ekari 50.
Mpina amegawiwa ekari 1000, kubwa zaidi mara 20 kuliko Ile ambayo Kijiji wanaruhusiwa.
Ni wazi kwamba Mpina alihonga viongozi wa serikali ya Kijiji ili apate ardhi hiyo. Alitoa rushwa.
Wizara ya Ardhi badala ya kuunda taskforce kumfuatilia huyu mtoa rushwa na kufuta umiliki wake, abaki na ekari 49.
Alitetewa na jiwe wakati hii inaibuka, akaizima, akajua imeisha, mali ya umma ukiiba, umma hautakuacha.
Sasa hivi analima mpaka karibu na milango ya nyumba, mpaka watoto hawana sehemu ya kucheza, Kijiji hakina hata eneo la kujenga shule Wala dispensary,lote kachukua Mpina.
Mpina amegawiwa ekari 1000, kubwa zaidi mara 20 kuliko Ile ambayo Kijiji wanaruhusiwa.
Ni wazi kwamba Mpina alihonga viongozi wa serikali ya Kijiji ili apate ardhi hiyo. Alitoa rushwa.
Wizara ya Ardhi badala ya kuunda taskforce kumfuatilia huyu mtoa rushwa na kufuta umiliki wake, abaki na ekari 49.
Alitetewa na jiwe wakati hii inaibuka, akaizima, akajua imeisha, mali ya umma ukiiba, umma hautakuacha.
Sasa hivi analima mpaka karibu na milango ya nyumba, mpaka watoto hawana sehemu ya kucheza, Kijiji hakina hata eneo la kujenga shule Wala dispensary,lote kachukua Mpina.