Amehujumu uchumi wa vijiji kwa kufisadi ardhi yao, itaifishwe
Wananchi wanatabia ya kuuza mapori yao ,mengi mamiti makubwa,ukinunua ukisafishwa likapendeza ,unaona wanaanza kuleta pua zao
Dada tulia aeleze namna alivyopata hiyo Ardhi!.Hoja za Mpina zijibiwe sio kuanzisha mjadala mpya
Nani kamuongelea makamba hapaChawa kama nyie ndio mnafanya ndugu yenu makamba aendelee kuchukiwa....
Badala ya kujibu hoja mnaleta mijadala mingine kabisa ili kuhamisha upepo... Mpeni majibu mpina..
Sisiemu mnakera sana sometimes.
Yamekuwa hayo 😂
Wameamua kuumana wenyewe kwa wenyewe..😂😂Hoja za Mpina zijibiwe sio kuanzisha mjadala mpya
Huu mjadala sio mpya wana Morogoro wanataka haki yaoHoja za Mpina zijibiwe sio kuanzisha mjadala mpya
Hata suala la wewe kwenda kuoga bila shaka utasema mpaka katiba mpya
Mpaka leo bado muungano kukamilika?Wahuni mnaiogopa katiba mpya kuliko ukoma.
Tuungane kukataa wahuni!
Serikali ndio mtetezi wa wanyonge dhidi ya matapeli papa wanaodhulumu wanakijiji ardhi yao, hawa ndio wanazua migogoro mikubwa sana kati ya wananchi, na kati ya serikali na wananchi. Nashauri wizara ya ardhi iunde timu ikachunguze na Kisha ichukue hatua ya kurudisha ardhi hiyo kwa wanakijiji.
Huyu mtu kachukua ardhi yote, wanakijiji hawana akiba ya ardhi kwa matumizi ya baadae. Pia takukuru wachunguze, Kuna viashiria vya rushwa
View attachment 2180552View attachment 2180553View attachment 2180556
Mlikuwa wapi enyi team kigogo?Serikali ndio mtetezi wa wanyonge dhidi ya matapeli papa wanaodhulumu wanakijiji ardhi yao, hawa ndio wanazua migogoro mikubwa sana kati ya wananchi, na kati ya serikali na wananchi. Nashauri wizara ya ardhi iunde timu ikachunguze na Kisha ichukue hatua ya kurudisha ardhi hiyo kwa wanakijiji.
Huyu mtu kachukua ardhi yote, wanakijiji hawana akiba ya ardhi kwa matumizi ya baadae. Pia takukuru wachunguze, Kuna viashiria vya rushwa
View attachment 2180552View attachment 2180553View attachment 2180556
Mpumbavu huwa hajibiwi, kwa hiyo Mpina naye mpumbavu, haina haja ya kumjibu