To be honest nina miaka kadhaa sijaona team yetu ikicheza mpira wa hovyo kama tuliocheza first half leo.


Cha ajabu ndio half tuliyofunga goli mbili. Ila kama Chelsea na wasingekuwa wabovu wangetufunga vizuri tu.

Wachezaji wengi leo walikuwa below par. Midfield ilikuwa uchwara kabisa Hendo amepoteza kila mpira aliougusa. Captain wa mchongo.
Hivi kwa nini huyu kenge asitangaze kustaafu?
 
Mkuu imeniuma sana lakini yaani tumeanza vzuuri lakini dah! Huu ubingwa tumuachie city tu.

Mkuu kimaesabu bado tunasifa zote Za kuwa bingwa.

Round ya kwanza tuna mechi mkononi na Leeds,city katuacha point 3.tukishinda tukishinda zinabaki 3 tukifungwa zitakuwa 6. Points 6 tunauwezo wakumkuta zingekuwa 15 kama za msimu uliopita ingekuwa imeisha hiyo.

Round ya pili ni marudio tu ya mechi za round ya kwanza aina tofauti sana lakini gap la points 3 na tunamechi na Leeds ili baki tatu au 6.

Sasa hivi city kuongoza inategemea na mechi alizoanzA nazo lakini Baada ya muda tutamkamata tu kama ilivyokuwa kwa chelsea watu wote walikuwa wanakubali chelsea anachukua ubingwa Msimu huu wakati chelsea anaongoza ligi kwa point 4, lakini alivyo kuja kucheza na kila timu hakaonekana hawezi na watu sasa hivi wanamkataa.

Watu wengi humu tunaangalia tu nani anaongoza ligi yaani tunafata upepo.ndio tunasema atachukua ubingwa lakini mambo yanaenda yanabadilika kipimo kizuri hiyo round ya kwanza ilivyoisha chelsea kutoka hapo juu. Ni mimi ndio nilikuwa naamini hilo,wengine hawakuelewi unaongea nini.


ilifika muda mimi peke yangu ndio nilikuwa nakataa Chelsea hawezi kuchukua ubingwa,wakati huo chelsea anaongoza ligi kwa points 4.lakini leo hii kiko wapi?

Mkuu bado tuna nafasi ya kuwa bingwa.
 
Mkuu kimaesabu bado tunasifa zote Za kuwa bingwa.

Round ya kwanza tuna mechi mkononi na Leeds,city katuacha point 3.tukishinda tukishinda zinabaki 3 tukifungwa zitakuwa 6. Points 6 tunauwezo wakumkuta zingekuwa 15 kama za msimu uliopita ingekuwa imeisha hiyo.

Round ya pili ni marudio tu ya mechi za round ya kwanza aina tofauti sana lakini gap la points 3 na tunamechi na Leeds ili baki tatu au 6.

Sasa hivi city kuongoza inategemea na mechi alizoanzA nazo lakini Baada ya muda tutamkamata tu kama ilivyokuwa kwa chelsea watu wote walikuwa wanakubali chelsea anachukua ubingwa Msimu huu wakati chelsea anaongoza ligi kwa point 4, lakini alivyo kuja kucheza na kila timu hakaonekana hawezi na watu sasa hivi wanamkataa.

Watu wengi humu tunaangalia tu nani anaongoza ligi yaani tunafata upepo.ndio tunasema atachukua ubingwa lakini mambo yanaenda yanabadilika kipimo kizuri hiyo round ya kwanza ilivyoisha chelsea kutoka hapo juu. Ni mimi ndio nilikuwa naamini hilo,wengine hawakuelewi unaongea nini.


ilifika muda mimi peke yangu ndio nilikuwa nakataa Chelsea hawezi kuchukua ubingwa,wakati huo chelsea anaongoza ligi kwa points 4.lakini leo hii kiko wapi?

Mkuu bado tuna nafasi ya kuwa bingwa.
Huchukui acha ndoto za mchana kwa mpira huuu na ule uliocheza na The Foxes sahau

Ha ha AFCON hiyooooooooooo inakuja UTAJUA HAUJUI NGOJA UONE
 
Mkuu kimaesabu bado tunasifa zote Za kuwa bingwa.

Round ya kwanza tuna mechi mkononi na Leeds,city katuacha point 3.tukishinda tukishinda zinabaki 3 tukifungwa zitakuwa 6. Points 6 tunauwezo wakumkuta zingekuwa 15 kama za msimu uliopita ingekuwa imeisha hiyo.

Round ya pili ni marudio tu ya mechi za round ya kwanza aina tofauti sana lakini gap la points 3 na tunamechi na Leeds ili baki tatu au 6.

Sasa hivi city kuongoza inategemea na mechi alizoanzA nazo lakini Baada ya muda tutamkamata tu kama ilivyokuwa kwa chelsea watu wote walikuwa wanakubali chelsea anachukua ubingwa Msimu huu wakati chelsea anaongoza ligi kwa point 4, lakini alivyo kuja kucheza na kila timu hakaonekana hawezi na watu sasa hivi wanamkataa.

Watu wengi humu tunaangalia tu nani anaongoza ligi yaani tunafata upepo.ndio tunasema atachukua ubingwa lakini mambo yanaenda yanabadilika kipimo kizuri hiyo round ya kwanza ilivyoisha chelsea kutoka hapo juu. Ni mimi ndio nilikuwa naamini hilo,wengine hawakuelewi unaongea nini.


ilifika muda mimi peke yangu ndio nilikuwa nakataa Chelsea hawezi kuchukua ubingwa,wakati huo chelsea anaongoza ligi kwa points 4.lakini leo hii kiko wapi?

Mkuu bado tuna nafasi ya kuwa bingwa.
Tuache utani kwa uchezaji huu hatuna ubingwa hapa.
Hivihivi tunavyocheza ndio tukamkute kipara na kumtoa?
Labda Mungu aingilie tu kati.
 
To be honest nina miaka kadhaa sijaona team yetu ikicheza mpira wa hovyo kama tuliocheza first half leo.


Cha ajabu ndio half tuliyofunga goli mbili. Ila kama Chelsea na wasingekuwa wabovu wangetufunga vizuri tu.

Wachezaji wengi leo walikuwa below par. Midfield ilikuwa uchwara kabisa Hendo amepoteza kila mpira aliougusa. Captain wa mchongo.
Nimeshangaa sana mabao mawili wamerudisha na tunawashangaa tu.
Kwa kweli mechi ya leo imenitesa sana kuangalia mpira rough namna ile kama hatupo yasni.
 
Adjustments.jpg
 
Back
Top Bottom