Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Now you are talking... Shukuruni Mungu Lukaku ana mgogoro na Kocha, Otherwise.... Leo mngekufa vibaya sana.

Timu yenu haina maajabu. Muache kutusubumbua.
Shukuruni wachezaji wetu wa kati hawapo.
Ningekunyoa hiyo pank yako wewe kiduku.
 
Adjustments.jpg
 
Mkuu namaanisha round ya kwanza imeishaje yaani Baada ya mechi 19 , ligi inamechi 38.

Wanasema atakae ongoza ligi Christmas Ndio bingwa , Christmas inakuwaga kila mtu amecheza Mechi 19 ndio tafsiri yangu.

Mkuu Hautanielewa saizi Maana unaongoza ligi Saizi nitakuambia nini?[emoji3].

Muda Ndio utaamua maana hata chelsea niliwaambia hawakunielewa Saizi akili imewakaa sawa.
Timu yako ya kawaida mzee. Sijui hata unapata wapi jeuri wakati forward line yako inaenda AFCON.

Acha tuone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom