Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,793
Kabisa, na hapa imebaki tu kumsindikiza city kuchukua ubingwa.Chelsea wamezembea tu kutufunga
Kabisa, na hapa imebaki tu kumsindikiza city kuchukua ubingwa.Chelsea wamezembea tu kutufunga
Sijui how they guys make this awful decisions yaaani unatoa goal threat kwenye timu especially mipira ya kichwa like serious yaaan...
Leo Chelsea washindwe wao kuchukua pointi 3 kwetu maana sio kwa huu utopolo wa wa kikosi...
YNWA
Vp mkuu ukifanikiwa kumla tunda kimadihara niambie.Tukishinda naondoka na Mrembo wenu Saint Anne.
Deal or No Deal?
SawaNyie kuku leo tunawachemsha na kuwanywa supu mkiwa hiv iv hai hatuna haja ya kuwachinja ..ni kuwakamata kisha jikoni ..mpaka mnaiva tunawala ivyo ivyo leo. Sisi ndio Chelsea sasa.
Midfielder zetu zimezingua sana aisee, pumbavu sana covid imesababisha yote haya.
Matip haodoki.Mkuu nje hakuna mchezaji wakuingia Mkuu usilaumu sana.
Wachezaji tegemezi wote wana COVID-19, sasa nani atacheza.
angekuwa Ali ,matip,Thiago hapo sub angeingi Bobby lakini sasa hatuna wachezaji.
Mechi na Spurs wachezaji walikuwa na COVID-19, na mechi hii pia wana Covid-19 tena wengine mpaka inatia hasira .
Wiki ijayo wengine watakuwa na COVID.
Salah,mane ,matip na keita wanaondoka sasa hao wengine wanaobaki na wao wakiumwa COVID tutashindwa kupata point kwa sababu za kijinga sana.
Hatuna kikosi kipana wachezaji sasa wajilinde.
Mkuu imeniuma sana lakini yaani tumeanza vzuuri lakini dah! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Huu ubingwa tumuachie city tu.Mechi hii tulikuwa tuna nafasi kubwa ya ushindi lakini wachezaji wetu wamezingua wao wanaumwa Covid kila Siku akipona huyu Kesho anaumwa mwingine wiki ijayo utasikia jota ,na taa,
Nje ukiangalia hakukuwa na sub yamaana,kati angecheza nani hapo, klopp anajitahidi sana kwa matokeo tunayopata
KONATE ni trash tu
Konate kwa kweli hahahaaa anacheza utafikiri anacheza ndomboro ya soro, speed mwendo wa kobe kweli? Konate bhana.Mkuu konate bado ajachangamka kabisa hajiamini kabisa halafu yuko very slow. Lakini sasa acheze Nani matip kazingua na yeye ana Covid-19,mkuu tukubali tu tuna kikosi kimoja.
To be honest nina miaka kadhaa sijaona team yetu ikicheza mpira wa hovyo kama tuliocheza first half leo.Wachezaji wetu sijui hata wanachokifanya
Msimlaumu Konate. Still young (20) na bado ni mgeni kwenye league na bado ni second fiddle kwamaana kuwa akiwa fit Matip yeye anakaa nje.KONATE ni trash tu
Vvd leo kwa mbali goli la pili nae alilala kiasi japo ilikua quick moves..
YNWA
Kipa pale usimlaumu mkuu. Ile move kaianza Hendo badala ya ku clear mpira aoshe uende hata nje akampasi Trent pass ya hovyo tena akiwa under pressure. Hendo ndio ametu cost game ya leo wala halina ubishi hilo.Nisawa kabisa mkuu kwanini hakwenda pale hamebaki katikati,ila na golikipa nae alizingua pale allison lazima acheze kama ilivyokuwa kwa Spurs.
Matip haodoki.
Nalaumu mkuu pale una ballers kwenye benchi Morton, Ox na Jones ambao wangeanza kuliko kumwanzisha Milner sasa tazama faulo yake pale tukapigwa goli la kwanza...
Haya tukaongoza goli 2 baada tuwe na utulivu tukawa all over the place why sababu MFs hawa ku control game zaidi ya kutoa reckless passes...
Milner na Hendo ni pedestrians any day of the week.
Nwa kuwalaumu bure hatuna squad depth kumkimbiza Kipara aliesheheni vipaji kila nafasi..
Shame on you FSG.
YNWA
Klopp hua anajificha eti sio muumin wa kusajili January unless atokee exceptional player kama VVD nk..Mkuu bila investment with bringing in more/fresh quality players to our poor squad hatuna kitu tutafanya
Na nahisi Pep atafanya some additions this winter window as he always does (Few days ago they offloaded Ferran Torres) and back to ourselves its absolutely nothing (i hadn't come across any rumors about our activity in this already opened winter window)
Kelleher bado ni amateur.Nisawa kabisa mkuu kwanini hakwenda pale hamebaki katikati,ila na golikipa nae alizingua pale allison lazima acheze kama ilivyokuwa kwa Spurs.
Saana. Yaani imeonekana wao ni wazembe kuliko sisi.Chelsea wamezembea tu kutufunga
Duuh huyu Medy sio kipa wa kawaida..
I knew the dude is good but man this top..
Hahaha Senegal vs Senegal
YNWA