MartinDavid
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 874
- 144
Duh at last... wonder why hatukucheza hii against leicester deem..
Just love leverpool...
Just love leverpool...
King Ngwaba, game ya leo ilikuwa nzuri na Liverpool walistahili huu ushindi sababu wamecheza vizuri dhidi ya timu ngumu na iliyokuwa ikihitaji ushindi au angalao point.Klopp hapa anastahili pongezi na kwa maoni yangu hii ya kumtaka aiache Liverpool si kumtendea haki.
Bado tupo kwenye kinyanganyiro cha top 4. Anastahili credits kwa kweli. Hasa ukiangalia aina ya wachezaji alionao. Wachezaji ambao wana hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool kwa sasa hawazidi wa5. Mimi labda nimlaumu kwa swala la usajili. Liverpool hatuna scouts wa zuri wa kuweza kumsaidia kupata wachezaji vijana na ambao ni world class player.
Hamna wa kuuzwa bali tuongeze nguvu tu!Mane
Coutinho
Firmino
Lalana
The rest must be sold
King Ngwaba, game ya leo ilikuwa nzuri na Liverpool walistahili huu ushindi sababu wamecheza vizuri dhidi ya timu ngumu na iliyokuwa ikihitaji ushindi au angalao point.Klopp hapa anastahili pongezi na kwa maoni yangu hii ya kumtaka aiache Liverpool si kumtendea haki.
Bado tupo kwenye kinyanganyiro cha top 4. Anastahili credits kwa kweli. Hasa ukiangalia aina ya wachezaji alionao. Wachezaji ambao wana hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool kwa sasa hawazidi wa5. Mimi labda nimlaumu kwa swala la usajili. Liverpool hatuna scouts wa zuri wa kuweza kumsaidia kupata wachezaji vijana na ambao ni world class player.
Inabore sana aisee high temper ya game ya Jana ilikuwa superb kabisa hata kuona pengo LA captain Hendo ilikuwa shida kila kwa Leicester tulichezea kiajabu ingawa nilimskia kwenye press akidai kuwa inconsistence is a party of development in building a great teamIngelikuwa sheria inaruhusu ningeliomba Nruhusa Nikamtukana Huyu Klopp! Anajifanya Kukomaa Na Timu Kubwa Halafu Analiwa Na Vibonde......
[HASHTAG]#KloppOut[/HASHTAG] Sisi Hatubabaishwi na Matokeo Ya Arsenal na False Performance Zako Za Kukamia Mechi Kubwa utafikiria Ligi ina Timu sita tu kama ukizishinda ndio utakua Bingwa......
Kwa upande wangu siwezi kumlaumu moja kwa moja klopp falsafa za Ian zilichangia sana kuishusha timu yetu naona rumours nyingi juu ya Alexander Laccazande,Keita kuna wanaweza kuja summer hii na FSG wako tayari kutoa euro mil 70 kwa wote wawili lakini bado hatujapata CD wa calibre ya EPL hii itatutesa kwa msimu mzimu Klavan bado anapungukiwa vitu vidogoKing Ngwaba, game ya leo ilikuwa nzuri na Liverpool walistahili huu ushindi sababu wamecheza vizuri dhidi ya timu ngumu na iliyokuwa ikihitaji ushindi au angalao point.Klopp hapa anastahili pongezi na kwa maoni yangu hii ya kumtaka aiache Liverpool si kumtendea haki.
Bado tupo kwenye kinyanganyiro cha top 4. Anastahili credits kwa kweli. Hasa ukiangalia aina ya wachezaji alionao. Wachezaji ambao wana hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool kwa sasa hawazidi wa5. Mimi labda nimlaumu kwa swala la usajili. Liverpool hatuna scouts wa zuri wa kuweza kumsaidia kupata wachezaji vijana na ambao ni world class player.
Mechi ijayo Burnley anakutoa jashoKing Ngwaba, game ya leo ilikuwa nzuri na Liverpool walistahili huu ushindi sababu wamecheza vizuri dhidi ya timu ngumu na iliyokuwa ikihitaji ushindi au angalao point.Klopp hapa anastahili pongezi na kwa maoni yangu hii ya kumtaka aiache Liverpool si kumtendea haki.
Bado tupo kwenye kinyanganyiro cha top 4. Anastahili credits kwa kweli. Hasa ukiangalia aina ya wachezaji alionao. Wachezaji ambao wana hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool kwa sasa hawazidi wa5. Mimi labda nimlaumu kwa swala la usajili. Liverpool hatuna scouts wa zuri wa kuweza kumsaidia kupata wachezaji vijana na ambao ni world class player.
Klopp: "This is a long term project, I can't understand why people lose patience. Long term projects have inconsistency."
Antonio Conte landed at Stanford bridge in less than a year and the rest is history
Why not Klopp, who has been at Anfield for 2 years now?
Wachezaji wenye hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool ndio wapi?King Ngwaba, game ya leo ilikuwa nzuri na Liverpool walistahili huu ushindi sababu wamecheza vizuri dhidi ya timu ngumu na iliyokuwa ikihitaji ushindi au angalao point.Klopp hapa anastahili pongezi na kwa maoni yangu hii ya kumtaka aiache Liverpool si kumtendea haki.
Bado tupo kwenye kinyanganyiro cha top 4. Anastahili credits kwa kweli. Hasa ukiangalia aina ya wachezaji alionao. Wachezaji ambao wana hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool kwa sasa hawazidi wa5. Mimi labda nimlaumu kwa swala la usajili. Liverpool hatuna scouts wa zuri wa kuweza kumsaidia kupata wachezaji vijana na ambao ni world class player.