Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tusijipongeze kwa ushindi wa jana na tukasahau kuwa timu hii bado ni mbovu sana tena sana
We need a massive squad overhaul this summer
 
Malafyale na wana Liverpool wote hongereni sana kwa ushindi wentu wa jana,
Lwa kweli mmepigana sana na kama kawaida yetu hampotezi mechi na bigteam nyie mmnakuwa legelege kwa wakina Leicester city nk
Pili hongereni kwa kuikataa kwa nguvu nafasi ya sita ambayo Man U alikuwa anatafuta kuwauzia, komaeni sasa msifungwe na timu za chini na mkae mkijua Man anawatafuta

Nafasi ya sita ni aibu mkuu ingawa bado tunaweza kujikuta tunakuwa huko kama mwendo wenyewe ndio huu wa kusuasua
 
Wachezaji wenye hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool ndio wapi?

Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
Ujue Liverpool ni club kubwa barani ulaya,kama ilivyo real Madrid, bayern na hata juventus. Aina ya wachezaji wanaochezea hivyo vilabu nilivyovitaja ndio wanaotakiwa kuvaa jersey ya Liverpool.
Hawa tulionao kwa sasa ni magarasa tu,so tunahitaji kukifanyia overhaul kikosi chetu ili kiweze kushindana na vilabu vikubwa vya ulaya. Nadhani kama tutafanikiwa kucheza ucl msimu ujao basi tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kusajili wachezaji ambao ni world class.
Klopp bado mimi namuunga mkono kwa matokea aliyopata ukilinganisha na ubora wa kikosi chake na timu kama chelsea, Man city, Spurs, united na Arsenal.
 
Ujue Liverpool ni club kubwa barani ulaya,kama ilivyo real Madrid, bayern na hata juventus. Aina ya wachezaji wanaochezea hivyo vilabu nilivyovitaja ndio wanaotakiwa kuvaa jersey ya Liverpool.
Hawa tulionao kwa sasa ni magarasa tu,so tunahitaji kukifanyia overhaul kikosi chetu ili kiweze kushindana na vilabu vikubwa vya ulaya. Nadhani kama tutafanikiwa kucheza ucl msimu ujao basi tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kusajili wachezaji ambao ni world class.
Klopp bado mimi namuunga mkono kwa matokea aliyopata ukilinganisha na ubora wa kikosi chake na timu kama chelsea, Man city, Spurs, united na Arsenal.
Acheni kujidanganya nyie, Liverpool na bayern, juve, madrid wapi na wapi? Nyie kwa sasa hamna tofauti na Ajax, Milan, deportivo LA coruna hizo ndio level zenu, mnabebwa na historia na si kitu kingine.

Ibrahimovic, mkhitaryan, pogba, BFS, martial, wote hawa wamesajiliwa na man u wakati hawachezi champion league, wakati nyie mmeshindwa hata kuwavutia akina gotze.

Ifike hatua mmkubaliane na ukweli kwamba you are no longer a big club, hakuna mchezaji mwenye jina kubwa anaetamani kuchezea timu yenu kwa sasa, Acheni kujipa false hope you looser
 
Ujue Liverpool ni club kubwa barani ulaya,kama ilivyo real Madrid, bayern na hata juventus. Aina ya wachezaji wanaochezea hivyo vilabu nilivyovitaja ndio wanaotakiwa kuvaa jersey ya Liverpool.
Hawa tulionao kwa sasa ni magarasa tu,so tunahitaji kukifanyia overhaul kikosi chetu ili kiweze kushindana na vilabu vikubwa vya ulaya. Nadhani kama tutafanikiwa kucheza ucl msimu ujao basi tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kusajili wachezaji ambao ni world class.
Klopp bado mimi namuunga mkono kwa matokea aliyopata ukilinganisha na ubora wa kikosi chake na timu kama chelsea, Man city, Spurs, united na Arsenal.
1.Hivi unaifahamu philosophy ya wamiliki wa Liverpool (FSG) ?

2.Hao wachezaji wakubwa kama Madrid,Juventus,Bayern mnazo hela za kuwanunua ?

3.Juventus,Bayern mafanikio yao yanawasaidia kuwashawishi wachezaji wajiunge nao,miaka ya karibuni mna mafanikio gani kuwashawishi wachezaji ?

4. Klopp still anapaswa kulaumiwa kwa yanayotokea leo,huu ni msimu wake wa pili aliikuta defence ya Liverpool ni mbovu na hadi leo ni mbovu kama alivyoikuta.Kamuondoa Sakho anamchezesha Lucas CB,Sakho amecheza game 2 tangu atue C.Palace wameshinda mechi zote na hawajaruhusu goli hizo mechi
Ujue Liverpool ni club kubwa barani ulaya,kama ilivyo real Madrid, bayern na hata juventus. Aina ya wachezaji wanaochezea hivyo vilabu nilivyovitaja ndio wanaotakiwa kuvaa jersey ya Liverpool.
Hawa tulionao kwa sasa ni magarasa tu,so tunahitaji kukifanyia overhaul kikosi chetu ili kiweze kushindana na vilabu vikubwa vya ulaya. Nadhani kama tutafanikiwa kucheza ucl msimu ujao basi tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kusajili wachezaji ambao ni world class.
Klopp bado mimi namuunga mkono kwa matokea aliyopata ukilinganisha na ubora wa kikosi chake na timu kama chelsea, Man city, Spurs, united na Arsenal.
 
Acheni kujidanganya nyie, Liverpool na bayern, juve, madrid wapi na wapi? Nyie kwa sasa hamna tofauti na Ajax, Milan, deportivo LA coruna hizo ndio level zenu, mnabebwa na historia na si kitu kingine.

Ibrahimovic, mkhitaryan, pogba, BFS, martial, wote hawa wamesajiliwa na man u wakati hawachezi champion league, wakati nyie mmeshindwa hata kuwavutia akina gotze.

Ifike hatua mmkubaliane na ukweli kwamba you are no longer a big club, hakuna mchezaji mwenye jina kubwa anaetamani kuchezea timu yenu kwa sasa, Acheni kujipa false hope you looser
Tunashukuru umekubali kua ni timu kubwa inayobebwa na historia.endelea kushabikia arsenal inayobebwa na geography.mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
 
Tunashukuru umekubali kua ni timu kubwa inayobebwa na historia.endelea kushabikia arsenal inayobebwa na geography.mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
Unajua kusoma wewe au umekurupuka tu kujibu, Kuna sehemu nimesema ni timu kubwa?

Arsenal? Ndio nini hicho?
 
Unajua kusoma wewe au umekurupuka tu kujibu, Kuna sehemu nimesema ni timu kubwa?

Arsenal? Ndio nini hicho?
Acha ushabiki maandazi.huijui arsenal??we wa ajabu kweli.ni timu ya mpira iko ligi kuu uingereza.ni moja ta timu kubwa kule.manchster,lvpool,aseno,chelseaa........ Ndo timu kubwa england.au dharau tuu??
 
Acheni kujidanganya nyie, Liverpool na bayern, juve, madrid wapi na wapi? Nyie kwa sasa hamna tofauti na Ajax, Milan, deportivo LA coruna hizo ndio level zenu, mnabebwa na historia na si kitu kingine.

Ibrahimovic, mkhitaryan, pogba, BFS, martial, wote hawa wamesajiliwa na man u wakati hawachezi champion league, wakati nyie mmeshindwa hata kuwavutia akina gotze.

Ifike hatua mmkubaliane na ukweli kwamba you are no longer a big club, hakuna mchezaji mwenye jina kubwa anaetamani kuchezea timu yenu kwa sasa, Acheni kujipa false hope you looser
Aah wewe Legeza mwendo unapotaja vilabu vikubwa barani ulaya liverpool haipo? Acha bhana, Liverpool ni club kubwa na wachezaji kibao tu wa kutoka ndani na nje ya uingereza kwa % kubwa wana ndoto za kuvaa uzi wa Liverpool au Manchester United.

Manchester na liverpool ndio timu kubwa pale uingereza. Hizi nyingine zimeanza kukua juzi kati hapa kwa kutumia nguvu ya pesa zakibepari. Nachotaka uelewa ni kwamba world class player wapo wengi lakini hawana majina makubwa. Hao wenye majina makubwa tunawaachi Madrid na bayern.
Unajua % 85 ya wachezaji wanaocheza Atletico de Madrid ni world class lakini hawana majina makubwa. Hiki ndio scouts wa liverpool wanachopaswa kufanya. Soko la wachezaji wenye ubora na viwango lipo ufaransa, vinchi vilivyokuwa Yugoslavia, na America ya kusini huko unawapata wachezaji wazuri na bei imekufa.
 
Liverpunga hahahaha Liverpunga hahahaha Liverpunga hahahahaha ...bado wiki ijayo babu Wenger anawaweka tena najua liver haina history ya kumfunga Arsenal aahahaha ...labda mjikaze mpate droo; timu mbovu sanaa
Hebu Rudia... Sijakusikia vizuri
 
1.Hivi unaifahamu philosophy ya wamiliki wa Liverpool (FSG) ?

2.Hao wachezaji wakubwa kama Madrid,Juventus,Bayern mnazo hela za kuwanunua ?

3.Juventus,Bayern mafanikio yao yanawasaidia kuwashawishi wachezaji wajiunge nao,miaka ya karibuni mna mafanikio gani kuwashawishi wachezaji ?

4. Klopp still anapaswa kulaumiwa kwa yanayotokea leo,huu ni msimu wake wa pili aliikuta defence ya Liverpool ni mbovu na hadi leo ni mbovu kama alivyoikuta.Kamuondoa Sakho anamchezesha Lucas CB,Sakho amecheza game 2 tangu atue C.Palace wameshinda mechi zote na hawajaruhusu goli hizo mechi
Philosophy ya kina (FSG)mimi sijui ila nachojua jamaa wapo kibiashara. Na malengo ya biashara ni kupata faida na ili upate faida lazima uwekeze na hapa ndio panatakiwa kufanyiwa kazi. Kwa maana ya kununua wachezaji ambao watailetea Liverpool mafanikio ambayo ni vikombe.

Wachezaji wenye majina makubwa uwezo wa kuwashawishi na kuwasajili tunao. Ref Luis Suarez, Fernando Torres, Xavi Allonso, Luis Garcia Javie Mascherano na hata kina Pepe Reina. Ila hapa hatutakiwi kuangalia majina, tunapaswa kutafuta wachezaji wenye ubora na viwango na wanapatikana kila kona ya hii dunia labda huko india ndio hawapo. Kwani Coutinho kabla ya kuja Liverpool alikuwa na jina? Mane kabla ya kwenda soton alikuwa na jina? Martial kabla ya kuja United alikuwa na jina? Hata Wanyama kabla ya kwenda soton alikuwa na jina? Lakini hawa jamaa wewe unawaonaje? Wakali au gharasa?

Klopp kumchezesha Lucas kama CD hii sishangai. Unajua mchezaji kama Adra Turan anafit nafasi yoyote ile isipokuwa pale golini. Ukiwa una experience ya kucheza kama DM ujue hata kucheza kama CD unakipiga tu. Ref ni Javie Mascherano, pale Liverpool alikuwa DM lakini kwa sasa ni mikoba pale bragulana.
 
King Ngwaba, game ya leo ilikuwa nzuri na Liverpool walistahili huu ushindi sababu wamecheza vizuri dhidi ya timu ngumu na iliyokuwa ikihitaji ushindi au angalao point.Klopp hapa anastahili pongezi na kwa maoni yangu hii ya kumtaka aiache Liverpool si kumtendea haki.

Bado tupo kwenye kinyanganyiro cha top 4. Anastahili credits kwa kweli. Hasa ukiangalia aina ya wachezaji alionao. Wachezaji ambao wana hadhi ya kuvaa uzi wa Liverpool kwa sasa hawazidi wa5. Mimi labda nimlaumu kwa swala la usajili. Liverpool hatuna scouts wa zuri wa kuweza kumsaidia kupata wachezaji vijana na ambao ni world class player.
Tatizo mna haraka... Mpira wa kibiashara is not only about winning... This is a long term project.... Kurudisha liver sehemu yake... Mwenye haraka aende Leicester. Sisi tupo.tulipotembea ni pakubwa pamebaki padogo tu. Haaail Klopp!!!
 
Philosophy ya kina (FSG)mimi sijui ila nachojua jamaa wapo kibiashara. Na malengo ya biashara ni kupata faida na ili upate faida lazima uwekeze na hapa ndio panatakiwa kufanyiwa kazi. Kwa maana ya kununua wachezaji ambao watailetea Liverpool mafanikio ambayo ni vikombe.

Wachezaji wenye majina makubwa uwezo wa kuwashawishi na kuwasajili tunao. Ref Luis Suarez, Fernando Torres, Xavi Allonso, Luis Garcia Javie Mascherano na hata kina Pepe Reina. Ila hapa hatutakiwi kuangalia majina, tunapaswa kutafuta wachezaji wenye ubora na viwango na wanapatikana kila kona ya hii dunia labda huko india ndio hawapo. Kwani Coutinho kabla ya kuja Liverpool alikuwa na jina? Mane kabla ya kwenda soton alikuwa na jina? Martial kabla ya kuja United alikuwa na jina? Hata Wanyama kabla ya kwenda soton alikuwa na jina? Lakini hawa jamaa wewe unawaonaje? Wakali au gharasa?

Klopp kumchezesha Lucas kama CD hii sishangai. Unajua mchezaji kama Adra Turan anafit nafasi yoyote ile isipokuwa pale golini. Ukiwa una experience ya kucheza kama DM ujue hata kucheza kama CD unakipiga tu. Ref ni Javie Mascherano, pale Liverpool alikuwa DM lakini kwa sasa ni mikoba pale bragulana.
1.Ungesoma makala ungeelewa philosophy yao at least tungeelewana,hawanunui WC players wananunua promising & young players (Origi,Coutino,Firmino,Karius,Can) wakifanya vizuri akija mteja mwenye hela nzuri anauzwa (Sterling,Suarez),

2.Budget yao kwa msimu haizidi £90 msimu huu walinunua Mane,Gini,Karius,Klavan,Grujic kiasi kilichobaki Klopp alisema kakosa mchezaji January

3.Pep alifanya mistake kwa Toure baadae akamrudisha na amekuwa msaada mkubwa kwenye timu,Mourinho amemrudisha Bastian,Shaw. Sakho ana uzoefu na EPL na anaweza kucheza LB au CB kumbuka Matip/Klavan bado hawajazoea EPL.Liverpool wana tatizo la defence hakuna sababu ya kumfanyia majaribio Lucas kucheza CB

4.Mascherano anachezeshwa beki sababu hafit kwenye tikitaka akicheza kama kiungo na aliwakuta (Xavi,Iniesta,Busquets) kwenye form unafikiri angemweka nani bench ?

Philosophy ya kina (FSG)mimi sijui ila nachojua jamaa wapo kibiashara. Na malengo ya biashara ni kupata faida na ili upate faida lazima uwekeze na hapa ndio panatakiwa kufanyiwa kazi. Kwa maana ya kununua wachezaji ambao watailetea Liverpool mafanikio ambayo ni vikombe.

Wachezaji wenye majina makubwa uwezo wa kuwashawishi na kuwasajili tunao. Ref Luis Suarez, Fernando Torres, Xavi Allonso, Luis Garcia Javie Mascherano na hata kina Pepe Reina. Ila hapa hatutakiwi kuangalia majina, tunapaswa kutafuta wachezaji wenye ubora na viwango na wanapatikana kila kona ya hii dunia labda huko india ndio hawapo. Kwani Coutinho kabla ya kuja Liverpool alikuwa na jina? Mane kabla ya kwenda soton alikuwa na jina? Martial kabla ya kuja United alikuwa na jina? Hata Wanyama kabla ya kwenda soton alikuwa na jina? Lakini hawa jamaa wewe unawaonaje? Wakali au gharasa?

Klopp kumchezesha Lucas kama CD hii sishangai. Unajua mchezaji kama Adra Turan anafit nafasi yoyote ile isipokuwa pale golini. Ukiwa una experience ya kucheza kama DM ujue hata kucheza kama CD unakipiga tu. Ref ni Javie Mascherano, pale Liverpool alikuwa DM lakini kwa sasa ni mikoba pale bragulana.


Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
 
Jamani epl sio timu kubwa tuu, tunataka soka safi kama la jana tulione hata ikiwa ni dhidi ya hull city sio arsena na chelsea au manchester

That is liverpool im afraid of and i admire to watch when plays

1.good intensity
2.high tempo
3.fluidity in open play
4.full of skills from attacking players
5.some how good defending but worse goal keeping
6.team plays with high morale as if there is no playing again, then you ain't call them mediocre

Lakini sasa baada ya hapo we go back to call you mediocre maana mtazingua tuu, surely looserfools ila hongereni kwa ushindi na burudani mliyotupa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom