Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kulikua na Vita ya kurushiana maneno iliyosababishwa na hii Jersey Kati ya Danny Simpson, G. Neville na caragher, Simpson akatwit "hata Siku moja sitegemei kumuona Neville kavaa Jersey ya mazoezi ya man city" Basi caragher povu likamtoka balaa
 
Tatizo moyes alishindwa kuvumiliwa kwasababu timu ilikuwa imetoka kuwa mabingwa, na pia alisababisha record nyingi sana kufutwa ndo maana alichukiwa, ila sasa huyu klopp ameletwa kuikwamua team lakini anaonekana kuvurunda sio kawaida!!

Mm nawasakama liverpool kwasababu wanataka vitu ambavyo kwa sasa sio size yao kabisa bora watulie tuu.

Makocha wanaowaleta wanamitazamo inayofanana hasa katika usajili wanafanya blunder tuu

Unaacha debrune unachukua firminho, hata kujaribu tuu kumsajili hakuna.

Unashangaa diego costa kaenda chelsea wakati alikuwa anakiwa aende liverpool badala yake analetwa balloteli

Unaleta fullback moreno wakati epl wapo namba 3 wazuri kuliko hata huyo tena bei rahisi tuu

Unamsajili milner ambae wenzako wameona hatoshelezi unaacha mikhtarian!!!!

Unasajili matip wakati kuna wapiga mkoba lukuki EPL na championship ambao ni wazuri tuu, mfano williams wa swansea aliyeenda everton

Hapa ndo funga kazi, unamundoa sakho halafu hausajili then unamchezesha lucas CB mtu mfupi, kazeeka end then what do you expect!!! Huyo clavan hadi leo hajazoea ligi!!

Halafu hicho kikosi kina makinda wengi mnoo ambao hawawezi kukupa suluhisho unapokua katika crisis maana hauwachezeshi mara kwa mara halafu si ajabu nao karibia wote ni mediocre kama hamna kinda anaeweza kutishia amani eneo la midfield au foward unadhani kuna mafundi sasa hapo??!! Just mediocre

Ila huu mwaka accademy yenu iko vizuri huenda mkapata fundi kwa next seasons
Mkuu duuh unaua

Loosefool fans mnasoma comments za huyu mtu kweli
 
Tatizo moyes alishindwa kuvumiliwa kwasababu timu ilikuwa imetoka kuwa mabingwa, na pia alisababisha record nyingi sana kufutwa ndo maana alichukiwa, ila sasa huyu klopp ameletwa kuikwamua team lakini anaonekana kuvurunda sio kawaida!!

Mm nawasakama liverpool kwasababu wanataka vitu ambavyo kwa sasa sio size yao kabisa bora watulie tuu.

Makocha wanaowaleta wanamitazamo inayofanana hasa katika usajili wanafanya blunder tuu

Unaacha debrune unachukua firminho, hata kujaribu tuu kumsajili hakuna.

Unashangaa diego costa kaenda chelsea wakati alikuwa anakiwa aende liverpool badala yake analetwa balloteli

Unaleta fullback moreno wakati epl wapo namba 3 wazuri kuliko hata huyo tena bei rahisi tuu

Unamsajili milner ambae wenzako wameona hatoshelezi unaacha mikhtarian!!!!

Unasajili matip wakati kuna wapiga mkoba lukuki EPL na championship ambao ni wazuri tuu, mfano williams wa swansea aliyeenda everton

Hapa ndo funga kazi, unamundoa sakho halafu hausajili then unamchezesha lucas CB mtu mfupi, kazeeka end then what do you expect!!! Huyo clavan hadi leo hajazoea ligi!!

Halafu hicho kikosi kina makinda wengi mnoo ambao hawawezi kukupa suluhisho unapokua katika crisis maana hauwachezeshi mara kwa mara halafu si ajabu nao karibia wote ni mediocre kama hamna kinda anaeweza kutishia amani eneo la midfield au foward unadhani kuna mafundi sasa hapo??!! Just mediocre

Ila huu mwaka accademy yenu iko vizuri huenda mkapata fundi kwa next seasons
Unaleta falsafa ya kusajili vitoto ili upate ubingwa wa EPL kama ulivyofanya Dortmund.....hii kitu itawagharimu sana ni ranieri tu aliweza fanya hili...without classic player ubingwa wa EPL mtausikia kwa wenzenu tu........na nasikia mna madeni huko standard chartered hamuwezi sajili mpaka muuze
 
Unaleta falsafa ya kusajili vitoto ili upate ubingwa wa EPL kama ulivyofanya Dortmund.....hii kitu itawagharimu sana ni ranieri tu aliweza fanya hili...without classic player ubingwa wa EPL mtausikia kwa wenzenu tu........na nasikia mna madeni huko standard chartered hamuwezi sajili mpaka muuze
wafanye kutuliza mshono wasitupigie kelele
 
Kulikua na Vita ya kurushiana maneno iliyosababishwa na hii Jersey Kati ya Danny Simpson, G. Neville na caragher, Simpson akatwit "hata Siku moja sitegemei kumuona Neville kavaa Jersey ya mazoezi ya man city" Basi caragher povu likamtoka balaa
Unajua legend unapokua na kidomo domo sana watu wanakuchoka then wanakuaibisha, kama kuna kipindi thiery henry alikuwa anachonga sana kidogo wenger amtolee uvivu akaamua kumstahi, amepata kazi ya ukocha ubelgiji ametulia. Bado hao caragher na mwenzake wanaongea too much hata kama ni uchambuzi wamezidisha
 
Ingelikuwa sheria inaruhusu ningeliomba Nruhusa Nikamtukana Huyu Klopp! Anajifanya Kukomaa Na Timu Kubwa Halafu Analiwa Na Vibonde......
Klopp You Have to Change! Sisi Hatubabaishwi na Matokeo Ya Arsenal na False Performance Zako Za Kukamia Mechi Kubwa utafikiria Ligi ina Timu sita tu kama ukizishinda ndio utakua Bingwa......


 
Ushindi was Leo kama upo ni wabahati........hautaashiria kwamba timu imeimarika.
 
Game ya leo kama tungefungwa,basi nisingeangalia mpira mpaka mwisho wa msimu.

Kipindi cha pili hiki. Ngoja tumalizane na Arsenal kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom